Bibi kuna tofauti ujue kati ya kununuliwa na kuhongwa.Na mimi ninahitaji kuendesha IST maana mkuu amezipa sana promotion.
Yangu iwe ya blue bahari niwafunge midomo mtaani. Na mimi nimehongwa IST
View attachment 1115994
Asprin
Ni kama umenunua nyumba alafu unatakiwa kulipa kodi sa sijui unamlipa nani[emoji28]Mke hahongwi, tunahongwa michepuko