Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Russia walishaonesha kuwa hawawezi peleka wanajeshi kule Syria sababu nao wana kibarua kigumu na Ukraine.
Irani wamekuwa paralysed na israel hasa kile kipigo cha mwisho cha ndege za kuendeshwa na mademu.
Hizbullah.... Inajualikana nayo ipo alijojo. Assad kamanda wangu ambaye nlikuwa namwamini sana. Akaona basi yeshe.
Irani wamekuwa paralysed na israel hasa kile kipigo cha mwisho cha ndege za kuendeshwa na mademu.
Hizbullah.... Inajualikana nayo ipo alijojo. Assad kamanda wangu ambaye nlikuwa namwamini sana. Akaona basi yeshe.