Assems 2019: Simba itimue viongozi waongo na wasio na elimu

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
KUTOKA KWENYE MAKTABA

"Asanteni mashabiki wa Simba. Nawatakia kila la kheri. Ili Simba ikue, lazima watimue waongo na watu wasio na elimu kwenye bodi ya wakurugenzi." Kocha Patrick Aussems (2019).

#simbawhatsappsupportersgroup #guvuMoya #WeAreUnstoppable
 
Mwamba kaonewa hata mumlete Pep Gudiola kama Mangungu, Try Again na MO wasipotimuliwa timu itashuka daraja msimu huu
 

Attachments

  • VID-20231108-WA0035.mp4
    12.7 MB
Watu wajinga ndo mtaji wa serikali ya Tanzania [emoji1241] na matajiri kama mo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…