Assistant Lecturer natafuta kazi

Assistant Lecturer natafuta kazi

dongbei

Senior Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
158
Reaction score
147
Salaam ndugu wana JF,

Bila kuwachosha, nataka kuomba kazi ya kufundisha Chuo kikuu kama Assistant Lecturer katika masomo ya sayansi. Kiukweli uzoefu wa teaching, research na consultance kama yalivyo majukumu makuu ya kazi za aina hiyo ninao. Nina CV yangu ila ningependa walau kupata uzoefu kwa walioko vyuoni na waliomba kwa njia hii ya ajira portal waweze ku-share CV zao walau nichote mawili matatu kabla ya kutuma maombi yangu.

Please kama hutojali karibu share kwa DM au hata kwa comment if it doesn't bother you. Pia, kama una namna unahisi waweza kuwa msaada kwa namna yoyote through this whole process za kazi through ajira portal karibu sana. Ndiyo mara yangu ya kwanza kuomba kazi na Hawa jamaa.

Karibuni na asanteni sana.

Dongbei 东北
 
1. Ajira portal maelezo unayoweka kutokana na sehemu unazotakiwa kujaza ndiyo yanatengeneza CV automatically. Hivyo huna haja ya kuumiza kichwa kuhusu utaandika nini au kwa mpangilio gani kwenye Cv.

Nimeshangaa madogo walioomba ajira TRA, walitakiwa kujaza taarifa za kina kisha wakatakiwa tena kupandisha na CV inyojitegemea, kitu ambacho ni kufanya kazi moja mara mbili, na sio kweli watakaozipitia watapitia zote mbili.

NB: Nikakumbuka hii ni Afrika, tunafanya mambo yetu kinamna yetu.
 
2. Kuhusu kwingine ambako unatakiwa uandae CV inayojitegemea bila ya kujaza taarifa zako kwenye mfumo, uwe na amani sana. Ma Hr, huwa wanatudanganya kupita maelezo, kwa kutuambia mbwe mbwe nyingi kuhusu uandishi wa Cv, mpaka inafika hatua watu wanakuwa na wasiwasi juu ya namna ipi ni sahihi kuandika Cv.

Ukweli ni kwamba andaa Cv yako kwa standard inayoeleweka na isiyochanganya, punguza manjonjo na urembo, kikubwa kinachoangaliwa sio namna ulivyoiremba au kupanga, suala ni, “Je unavyo wanavyovitaka?”

Kama unavyo vinavyohitajika, viweke vionekane kwa urahisi, kisha jiandae kuvitetea kupitia kuandika na kuongea.
 
2. Kuhusu kwingine ambako unatakiwa uandae CV inayojitegemea bila ya kujaza taarifa zako kwenye mfumo, uwe na amani sana. Ma Hr, huwa wanatudanganya kupita maelezo, kwa kutuambia mbwe mbwe nyingi kuhusu uandishi wa Cv, mpaka inafika hatua watu wanakuwa na wasiwasi juu ya namna ipi ni sahihi kuandika Cv.

Ukweli ni kwamba andaa Cv yako kwa standard inayoeleweka na isiyochanganya, punguza manjonjo na urembo, kikubwa kinachoangaliwa sio namna ulivyoiremba au kupanga, suala ni, “Je unavyo wanavyovitaka?”

Kama unavyo vinavyohitajika, viweke vionekane kwa urahisi, kisha jiandae kuvitetea kupitia kuandika na kuongea.
Asante sana kwa maelezo mazuri na yenye upendo ndani yake. Umeni-boost confidence yangu zaidi. Kabisaa, huwa pia sipendi mbwembwe nyingi zisizo na sababu. Ngoja leo nijaze hiyo ya ajira portal kwanza niwasililizie. Maana iko nafasi moja but I feel confident to try it.

Barikiwa sana mkuu🤝
 
1. Ajira portal maelezo unayoweka kutokana na sehemu unazotakiwa kujaza ndiyo yanatengeneza CV automatically. Hivyo huna haja ya kuumiza kichwa kuhusu utaandika nini au kwa mpangilio gani kwenye Cv.

Nimeshangaa madogo walioomba ajira TRA, walitakiwa kujaza taarifa za kina kisha wakatakiwa tena kupandisha na CV inyojitegemea, kitu ambacho ni kufanya kazi moja mara mbili, na sio kweli watakaozipitia watapitia zote mbili.

NB: Nikakumbuka hii ni Afrika, tunafanya mambo yetu kinamna yetu.
Afrika mkuu Ina mambo yake ya kipekee😀. Asante sana kaka, nafanyia kazi haraka!.
 
Asante wadau kwa mchango wenu, nimeitwa interview. Kwa bahati nzuri au mbaya sitohudhuria usaili huo. Nimepunguza competition kwa vijana wenzetu maana kwa mazingira niliyopo sina sababu za kuhudhuria usaili huo. Asanteni sana kwa ushauri elekezi.
 
Back
Top Bottom