[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahahahahahahaahahahhahahahahaha
Umeingia mapendano hayo lazima utetee
Hapana sio hivyo ullivyofikiriawewe, yeye Bwana harusi alikua anamshangaa miss Tanzania, kama star/ mtu maarufu aliyekuja kwwnye harusi yake.Hata angekuja Joti angemshangaa tu.au Mbwana Samatta.Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! 😂 😂
Ndugu yangu kuna hali halisi,Ukiwa unakula ugali maharage ni tofauti na mtu anae kula Pilau ya mbuzi auya kuku wa kienyeji.utatoa mimacho tu.Hiyo ndo hali halisi.Hahahaaa hii ni tamaa ya hali ya juu... Maskin bi harusi, hope hakuliona hilo maana ugomvi utaanza hapo
Hahahaa yaan nyie watu hua mnafrahisha sana. Ila ni kwel kabsa usemayoNdugu yangu kuna hali halisi,Ukiwa unakula ugali maharage ni tofauti na mtu anae kula Pilau ya mbuzi auya kuku wa kienyeji.utatoa mimacho tu.Hiyo ndo hali halisi.
K ni ile ile, alisikika mlevi mmoja huku akiongeza mbege kwenye chibuku
HahahaaaHapana sio hivyo ullivyofikiriawewe, yeye Bwana harusi alikua anamshangaa miss Tanzania, kama star/ mtu maarufu aliyekuja kwwnye harusi yake.Hata angekuja Joti angemshangaa tu.au Mbwana Samatta.
HahahaaaHapana sio hivyo ullivyofikiriawewe, yeye Bwana harusi alikua anamshangaa miss Tanzania, kama star/ mtu maarufu aliyekuja kwwnye harusi yake.Hata angekuja Joti angemshangaa tu.au Mbwana Samatta.
Kabla ya kuoa unatakiwa kuwa Malaya sana, mabinti uwe umechapa sana, Ndio ujivike taji la miba bila ivyo utakuja kuomba ushauri jamiii forum. Mwanamke wa kuoa anatakiwa awe wa kawaida sana, show gemuhalaf wadada wanavyojuaga kujikwatua siku ya harus sijui wanatakaga kuwafukina ma bi harusi [emoji16][emoji16][emoji16]
Mwamba kumbe umeoa ndio maana unatetea ladha za k kuwa ni ile ile sawa Asante kwa kusaliti chama la mabacheraKwamba K ya Dar ni tofauti na ya Mwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba kumbe umeoa ndio maana unatetea ladha za k kuwa ni ile ile sawa Asante kwa kusaliti chama la mabachera
Mara nyingi wanaoa mwanamke wa kawaida ndio wanadumu sana kwenye ndia kuliko wale wanaooa wanawake visuKabla ya kuoa unatakiwa kuwa Malaya sana, mabinti uwe umechapa sana, Ndio ujivike taji la miba bila ivyo utakuja kuomba ushauri jamiii forum. Mwanamke wa kuoa anatakiwa awe wa kawaida sana, show gemu
Mkweeee asalam alykum
farkhina
Siku zote walikuwa wapi ndiyo maana naamini shetani yupo tu,yaaaaaaaani haiwezekaniiiiiiiiii!Unaweza kuomba namba za simu, after honeymoon ukaanza kudeal na mmoja baada ya mwingineView attachment 1269142
Hatari sanaUnaweza kuomba namba za simu, after honeymoon ukaanza kudeal na mmoja baada ya mwingineView attachment 1269142