The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Wakuu Salaam,
Hii timu sielewi ni kwanini inapata matokeo mazuri uwanjani kwa siku za karibuni.
Mechi za karibuni ni hizi:
Aston Villa inashinda mechi nyingi kuliko hata Man Utd tena kwa kifua mbele kabisa, nini cha ziada kimefanyika ndani ya hii timu?
Updated:
Hii timu sielewi ni kwanini inapata matokeo mazuri uwanjani kwa siku za karibuni.
Mechi za karibuni ni hizi:
Aston Villa inashinda mechi nyingi kuliko hata Man Utd tena kwa kifua mbele kabisa, nini cha ziada kimefanyika ndani ya hii timu?
Updated: