The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Yasije tokea yaleyale ya Aston villa kunusurikaSie tuko fenerbahce na kituruki tumesha jua jua
Mkuu kuna mtu kanisalimia anasema yapi merkez naomba nisaidie namjibujiSie tuko fenerbahce na kituruki tumesha jua jua
Tatizo lilikuwa timu haijazoeana na hasa kule mbele,sasa dean smith kaleta washambuliaji wapya ambao tayari wanaijua ligi ya uingereza,samatta bado alokuwa hajaijua na hajaizoea ligi ya uingereza,kama wangempa muda,pengine angeza kuwaletea ushindi kwa ushirikiano na wenzieWakuu Salaam,
Hii timu sielewi ni kwanini inapata matokeo mazuri uwanjani kwa siku za karibuni.
Mechi za karibuni ni hizi:
View attachment 1583872
Aston Villa inashinda mechi nyingi kuliko hata Man Utd tena kwa kifua mbele kabisa, nini cha ziada kimefanyika ndani ya hii timu?
Nilitegemea jibu kama hili aisee.
Inakatisha tamaa sanaDua zetu zimegonga mwamba[emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi vicomment vya hovyo hovyo ni vya kukemewa na kila mtu,comment za aina hii kwa mtu aliyepo abroad inatoa taswira gani kwenye nchi husika ilipotoka hiyo comment? wanaweza kudhani hiyo ndio tabia ya watu wote au ndio mentality ya watu wote Tz!
Kwanini uiombee dua mbaya Villa ili ishuke daraja?Inakatisha tamaa sana
Lakini si ni kweli, watanzania wengi hawana akiliHivi vicomment vya hovyo hovyo ni vya kukemewa na kila mtu,comment za aina hii kwa mtu aliyepo abroad inatoa taswira gani kwenye nchi husika ilipotoka hiyo comment? wanaweza kudhani hiyo ndio tabia ya watu wote au ndio mentality ya watu wote Tz!