Usipende mambo ya kusikia tu, Ingia mtandaoni Babu shauri zakoNasikia hajajumuishwa kikosini.
Kuna habari yoyote mpaka sasa?
Mjombaa! Post nimeandika jana wewe unakuja kui-quote leo?!Usipende mambo ya kusikia tu, Ingia mtandaoni Babu shauri zako
Sema shangazi🤣🤣 sio mjombaaMjombaa! Post nimeandika jana wewe unakuja kui-quote leo?!
Mjomba ni mama, hujui hilo?😃Se
Sema shangazi🤣🤣 sio mjombaa
NoMjomba ni mama, hujui hilo?😃
Pole
Se
Sema shangazi
Haijalishi unasema uongo au ukweli....unavyoact mwingine anaweza sema una nia mbaya lakini nia yako nzuri tu hasa post zako za juu.Chief.
Nioneshe wapi nimesema uongo kumuhusu Samatta.
Sure mzee.Haijalishi unasema uongo au ukweli....unavyoact mwingine anaweza sema una nia mbaya lakini nia yako nzuri tu hasa post zako za juu.
Yanga ni waseeela sanaUshindi wa Villa wanaumia wa Yanga.
Utadhani wamefungwa wao.
Baba yako alishawahi kuzurura japo Namfua stadium kama vile Samatta alivyozurula uwanjani Villa Park?Samatta alikuwa anazurura tu uwanjani.
Hapana, baba yangu hajawahi.Baba yako alishawahi kuzurura japo Namfua stadium kama vile Samatta alivyozurula uwanjani Villa Park?
Sent using Jamii Forums mobile app
Langapi
3-1Langapi
hajawahi ndio maana nimekaa kimya na kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya 5 chini ya Mheshimiwa Rais John Joseph Pombe Magufuli maana haya yote tunayashudia katika utawala wake........sasa na wewe ni vema ukatuliza kipwinto.Hapana, baba yangu hajawahi.
Vipi, wewe baba yako amewahi?
Ni kweli ila wenzetu hamna siasa za mpira ha ha ha ha