Aston Villa ya samatta inakutana na Manchester United

TzDee

Member
Joined
Jun 17, 2020
Posts
43
Reaction score
42
Aston Villa ya samatta inakutana na Manchester United! Je samagoal ataweza kuisaidia team yake ikiwa nyumban kujinasua kwenye hatari ya kushuka daraja mbele ya mashetan wekundu walio on fire msimu huu unaomalizika!??
Tukutane sa 22:15pm

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Sifa za kucheza EPL .wabongo washa msahau tayari
 
Wakishindwa kuwafunga hata Man U wabovu ndiyo itakuwa basi tena
 
Wakishindwa kuwafunga hata Man U wabovu ndiyo itakuwa basi tena
We uliskia wapi??
Man U yupo moto sana na hiv tot kadraw anazid kumpa moto wa kumaliza big top4
 
Man u wapo Fire kiaje mkuu ,sijakuelewa Fire ipi zaidi unaiongelea.
 
Man u wapo Fire kiaje mkuu ,sijakuelewa Fire ipi zaidi unaiongelea.
Wapo on fire kuhakikisha wanamaliza top4, ukiangali wanamaintan vizur record ya kupata matokeo wakiongozwa vyema na vijana wenye damu changa kabisa wakiongozwa na admin mwenyew Bruno kama Bruno[emoji23][emoji95]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…