Awamu ya Tano imesababisha yote VIVA JPMTimu anayochezea Mtanzania Mbwana Sammata, imetoka sare na tumu ya Westham na kubaki ligi kuu ya England kwa kukusanya jumla ya point 35.
Alhamdulillah Mana daaahTimu anayochezea Mtanzania Mbwana Sammata, imetoka sare na tumu ya Westham na kubaki ligi kuu ya England kwa kukusanya jumla ya point 35.
Yaaah Safi Sana, ana contract ya 4.5 years...Hongera kwao. Maana Samatta angejuta sana. Ila kwani alisaini mkataba miaka mingapi ?
Duu! Umesoma vizuri kweli kichwa cha mada?Kwahiyo ina maana wamechukua ubingwa akina samatta?
πππ Si mpenzi na mfuatiliaji wa EPL,braaavoo Liverpool..
Watu wengi najua mmechangaza jezi walizovaa Westham mkifikiri ni Aston villa. π€£π€£π€£π€£π€£ Wewe ni mmojawapo mlio changanya.Samatta alifunga bao la kusawazisha? Niliondoka baada ya Aston vila kufungwa bao zuri sana nikawa sina hamu ya kutazama tena. Wakati huo Samatta alikuwa benchi
Samatta hamna kitu kabisa yuko overrated sana na media za TanzaniaSamata ni Yikpe wa Aston Villa
Hivi Samatta mwenyewe anafanya nini kwenye ile timu? AhahahahKwahiyo ina maana wamechukua ubingwa akina samatta?
True bongo bado sana, and that guy aliyekutusi let's report him.Kwa swala la Mpira bado sijaona mchezaji wakujivunia kwa sisi wa TZ .
Tuendelee kuwa na ndondo zetu tuu na kuombea atokea mtu awakilishege nchi vema.
Samahani waungwa kwa ukwelu huu.
Lazima waingie sokoni na kuchukua wachezaji wazuri zaidi.Msimu ujao first choice striker wao Wesley atakua fit jamaa naona atakua anasugua benchi . Unless wacheze 2 juu