Asubuhi njema

Asubuhi njema

moyomacho

Senior Member
Joined
Feb 5, 2020
Posts
138
Reaction score
103
Ni siku njema kwa Jf wote, Mungu ni mwema na anatupenda. Najua wengi wetu tuna mshukuru Mungu asubuh tunapo amka na kabla ya kwenda kazini tunajikabidhi mikononi mwake, hii ni kwa madhehebu yote.

Pole kwa wote waliopatwa na shida na misukosuko mbalimbali ya kidunia asubuhi ya leo. Mungu awatie nguvu na awavushe salama.

Mungu awatangulie wote.

Nawatakia asubuhi njema na yenye baraka. Amina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni siku njema kwa Jf wote, Mungu ni mwema na anatupenda. Najua wengi wetu tuna mshukuru Mungu asubuh tunapo amka na kabla ya kwenda kazini tunajikabidhi mikononi mwake, hii ni kwa madhehebu yote.

Pole kwa wote waliopatwa na shida na misukosuko mbalimbali ya kidunia asubuhi ya leo. Mungu awatie nguvu na awavushe salama.

Mungu awatangulie wote.

Nawatakia asubuhi njema na yenye baraka. Amina

Sent using Jamii Forums mobile app
Zab 30:5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom