Asubuhi yako mchana na jioni yako iko vp?

Asubuhi yako mchana na jioni yako iko vp?

moyomacho

Senior Member
Joined
Feb 5, 2020
Posts
138
Reaction score
103
Mi kwa upande wangu Mchana, asubuhi, jioni vyote Leo havijaenda poa kabisa, kweli siku hazifanani kuna siku unapiga bingo mpaka unahisi mzeebaba alikuwa nyumma yako.

Nipo geto nimepumzisha akili najiandaa kwa siku ya kesho. Sema geto limepoa Sina company, Yan shida juu ya shida.

Kweli pesa ndo Kila kitu. Vp jioni yenu poa?













Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi kwa upande wangu Mchana, asubuhi, jioni vyote Leo havijaenda poa kabisa, kweli siku hazifanani kuna siku unapiga bingo mpaka unahisi mzeebaba alikuwa nyumma yako.

Nipo geto nimepumzisha akili najiandaa kwa siku ya kesho. Sema geto limepoa Sina company, Yan shida juu ya shida.

Kweli pesa ndo Kila kitu. Vp jioni yenu poa?













Sent using Jamii Forums mobile app

Pole mkuu,mie tangu asubuhi nilikuwa nimelala naumwa mbaya zaidi hata kidonge kumeza kwangu huwa ni utata/mtihani

Naamini kesho itakuwa siku nzuri
 
Najaribu kurefresh simu yangu kama itatoa picha kwa huo uwazi lakini wapi
 
Back
Top Bottom