HARRISON ONE
Member
- Jan 8, 2014
- 42
- 30
Unataka kuanzisha kanisa?hello girls!!! Mimi ni mwanaume wa miaka 33,nimeajiriwa,msomi wa degree ya pili,smart,medium sized body,mstaarabu.Natafuta msichana ambaye atakuwa mke wangu!, awe na mwonekano mzuri,tabia nzuri,mrembo.maji ya kunde mrefu wastani,mwenye ideas nzuri za kufanya maendeleo,kujenga familia bora na mwisho awe na hofu na mungu.pls if ur serious only,Pm
Dogo una kifafaa cha vidole
Naona you are doing your homework...Jaman....we Harrison One wewe...yaan mwaka 2014 ulikuwa na miaka 32..halafu 2017 una miaka 33...mmmmmh!
.Kama wewe unadhani ni msichana boraumepata mume wa ndoto yako!
Hili jukwaa limejaa uongo mwingi hali inayopelekea kutipata mtu sahihi. Ifikie wakati watu wawe serious katika hili jukwaa kuliko majukwaa mengine....Jaman....we Harrison One wewe...yaan mwaka 2014 ulikuwa na miaka 32..halafu 2017 una miaka 33...mmmmmh!
.Kama wewe unadhani ni msichana boraumepata mume wa ndoto yako!
Wabongo bhana ukidanganya ukumbuke na kukumbukaJaman....we Harrison One wewe...yaan mwaka 2014 ulikuwa na miaka 32..halafu 2017 una miaka 33...mmmmmh!
.Kama wewe unadhani ni msichana boraumepata mume wa ndoto yako!
Yaan ni shidaHili jukwaa limejaa uongo mwingi hali inayopelekea kutipata mtu sahihi. Ifikie wakati watu wawe serious katika hili jukwaa kuliko majukwaa mengine....
Majanga makubwa..Wabongo bhana ukidanganya ukumbuke na kukumbuka
mmmmmh tatizo hili jukwaa limekuwa la kisanii mnoo mpaka linapoteza maanaJaman....we Harrison One wewe...yaan mwaka 2014 ulikuwa na miaka 32..halafu 2017 una miaka 33...mmmmmh!
.Kama wewe unadhani ni msichana boraumepata mume wa ndoto yako!
Yanayofanyika chit chat ndiyo yanayoletwa huku, wanashindwa kujua kuwa kuna watu wanatafuta kweli wenza hapa.mmmmmh tatizo hili jukwaa limekuwa la kisanii mnoo mpaka linapoteza maana
huwa nawaza sijui haya mambo bado ni mageni upande huuYanayofanyika chit chat ndiyo yanayoletwa huku, wanashindwa kujua kuwa kuna watu wanatafuta kweli wenza hapa.
Pengine ni kwa kuwa shuhuda za waliofanikiwa ni chache kuliko idadi ya watafutaji!huwa nawaza sijui haya mambo bado ni mageni upande huu
Twende kule maeneo yetu nmekuja kukuchukuaYanayofanyika chit chat ndiyo yanayoletwa huku, wanashindwa kujua kuwa kuna watu wanatafuta kweli wenza hapa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tangulia naja mamy!Twende kule maeneo yetu nmekuja kukuchukua
kufanikiwa humu ni ngumu sana vile ni ful sakayonsaPengine ni kwa kuwa shuhuda za waliofanikiwa ni chache kuliko idadi ya watafutaji!
Uje haraka naita rokoo[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] Tangulia naja mamy!