[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Uje haraka naita rokoo[emoji23] [emoji23]
Unadhani nini tatizo?kufanikiwa humu ni ngumu sana vile ni ful sakayonsa
watu hawako serious na hili jukwaa wakati lingetumika vizuri mi nahisi lingesaidia sana hasa kwa wale watu ambao hawajichanganyi. kingine nahisi hata watoa matangazo huwa wanaweka sijui kupima watu au wakiwa boredUnadhani nini tatizo?
AiseeTwende kule maeneo yetu nmekuja kukuchukua
We upoo? Naona umerud jamvinAisee
Nipo mamy Ila majukumu yanakaba hadi koo Yaani.We upoo? Naona umerud jamvin
Nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja. Sasa mini kifanyike kuboresha jukwaa hili?watu hawako serious na hili jukwaa wakati lingetumika vizuri mi nahisi lingesaidia sana hasa kwa wale watu ambao hawajichanganyi. kingine nahisi hata watoa matangazo huwa wanaweka sijui kupima watu au wakiwa bored
Ndo ukubwa huoNipo mamy Ila majukumu yanakaba hadi koo Yaani.
Naam.!, Anduje yupo?Ndo ukubwa huo
kwa kweli hata sijuiNakubaliana nawe kwa asilimia mia moja. Sasa mini kifanyike kuboresha jukwaa hili?
Itabidi tuanzishe mjadala maalum wa kuboresha jukwaa hilikwa kweli hata sijui
Andunje ana ban siku ya 3 leo sijamwona humuNaam.!, Anduje yupo?
litasaidia wengi sana likiboreshwa ila kwa sasa linakuwa halina tofauti na badooItabidi tuanzishe mjadala maalum wa kuboresha jukwaa hili
Nae mtundu, kisa nn tena?Andunje ana ban siku ya 3 leo sijamwona humu
Anatongoza sana wadada wa watu alafu jukwaaniNae mtundu, kisa nn tena?
Heeeh, we MuongoAnatongoza sana wadada wa watu alafu jukwaani
Badoo tena? Ina maana hapa pamekaa kibiashara zaidi?litasaidia wengi sana likiboreshwa ila kwa sasa linakuwa halina tofauti na badoo
Kwahyo jamaa siku hiz anatongoza live Kabisa bila chengaKweliiii
Saint Ivuga ukirud uje useme hapa kama nakusingizia
NdiooKwahyo jamaa siku hiz anatongoza live Kabisa bila chenga