At least amechelewa sanaaaa arudi saa ngapi

Kabla hujampangia muda kwanza inabidi ujiulize ni kwa nini anachelewa kurudi
Kama ni kwa sababu ya mihangaiko ya maisha, basi huhitaji hata kuuliza hilo swali.
Kama anatoka kazini na kupita kwenye 1 moja 1 baridi, basi hapo ni kizaazaa. Hata kwa hilo unapaswa kujiuliza ni kwa nini hajinazo kunywea home?!
Au nyumbani hapakaliki, kwa hiyo anaona ni afadhali abuzz buzz kwanza huko na akirudi ni kwenda kubond tu.
Ushauri: Jaribu kumtengenezea mazingira yatakayomvutia kuwa home.
 

michelle and others!, akirudi kuanzia saa tano to saa saba, is it fair.


Ohh kumbe unajuwa jibu au sio???Au sijakuelewa??
 
kama ni mlevi tuu, isizidi saa 6 usiku
kama ni mpenzi wa soka isizidi saa 7 usiku
kama ni mlevi na mpenzi wa soka isizidi saa 8 usiku
kama sio mlevi na sio mpenzi wa soka isizidi saa 4 usiku
 
Mwanaume kuchelewa kawaida sana mie hata sishangai. Cheleweni hivyo hivyo mtupunguzie kero nyumbani
 
Hii bwana haia formula ni nyie wenyewe mtakavokubaliana na kuona inafaa katia kubooresha mahusiano yenu.Ila kama hakuna sababu ya msingi sana ya kuchelewa home ni vizuri kwa wanaume nawanawake wakapata muda wa kuwa pamoja wao au na familia zao kabla kulala.

Ila kuna malalamiko kuwa wanawake wengine wanakuwa kero kwa tabia zao kwa maana hiyo wanaume huona ni bora kuspend muda huko anakojua na home inakuwa ni sehemu ya kulala tu nahali ikiwa mbaya zaidi wengine huthubutu kuhama na mabegi yao.

Angalizo:jaribu kufanya mwenzi wako akumbuke au a miss home,atarudi tu saa unayotaka.
 
Baba hachelewi nyumbani ...... bali huwa amehudhuria vikao vya wazee, vya kuwapaptanisha waliopishana, mihangaiko ya maisha, nk. na kama amepitia mahali, atakuwa amepitia kwake pia.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…