Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
ndoa yake ivunjwe kwa madai kuwa amebaini mkewe ni kikongwe
baada ya miaka minane aligundua kuwa mkewe hakuwa kigori na kwamba alishazaa na tayari ana wajukuu watano
Na hiki ndicho kinachowafunga wengi. Hivi waliokitengeneza hawakuweza kuforesee jamani? Mbon awengi wanaumia na haya maneno 3 tu? ah
Nyoni aliiambia mahakama hiyo kuwa mwanamke huyo, ambaye alimuoa mwaka 2002, alimweleza wakati wanakutana kwa mara ya kwanza kuwa yeye bado ni mbichi na hakuwahi kuzaa. Mume huyo alidai kuwa baada ya miaka minane aligundua kuwa mkewe hakuwa kigori na kwamba alishazaa na tayari ana wajukuu watano na hivyo akaamua kuachana naye.
karibu JF naomba jinsia yako tafadhali:hug:Hodi hodi wanajamiiforums. Mimi ni mgeni jamani, naomba kuwa nanyi...
kwanza nampa pole huyo kaka kwa kujikuta akiingia mkenge kwa kikongwe na kuamua kufunga ndoa.
Pamoja na hayo inaonyesha kuwa huyo kaka alikuwa akimtegemea huyo kikongwe kiuchumi sasa ameimalika kiuchumi anatafuta yule ampendaye na kikongwe kaamua kumbana ndo maana analazimika kukimbilia mahakamani.
kutokana na hali hiyo vijana wengi wa kiume wanaopenda kulelewa na wamama wenye mipesa yao wawe makini na hilo wasijikute nao wanatangaza ndoa na hatimaye kuzifunga kwa kushawishiwa na pesa.
mwanamke mwenye watoto hadi wajukuu anajulikana tu hata kwa sura jamani .
kaka oleeeeeeeeeee