Atakaye kuumiza ni yule aliyepo hapo kwa kusaidiwa na uliye msulubu.

Atakaye kuumiza ni yule aliyepo hapo kwa kusaidiwa na uliye msulubu.

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Eneo lolote la kazi hasa uwapo na mamlaka ogopa sana kumtenda isivyo aliye chini yako kwa sababu kisasi hakitatoka kwake bali walipa kisasi ni wale waliowezeshwa kuwa hapo na uliye mtenda.

Kosa hilo alipata kulifanya mfu mmoja na majibu yake ni bayana ndiyo yaliyo sababisha yaliyomo.

Hivi, unamfukuzaje kwa fedheha bosi aliyenisaidia niwe hapa jikoni kwako nikikupikia na nikuache salama?!
 
Funguka vizuri
Eneo lolote la kazi hasa uwapo na mamlaka ogopa sana kumtenda isivyo aliye chini yako kwa sababu kisasi hakitatoka kwake bali walipa kisasi ni wale waliowezeshwa kuwa hapo na uliye mtenda.

Kosa hilo alipata kulifanya mfu mmoja na majibu yake ni bayana ndiyo yaliyo sababisha yaliyomo.

Hivi, unamfukuzaje kwa fedheha bosi aliyenisaidia niwe hapa jikoni kwako nikikupikia na nikuache salama?!
 
Eneo lolote la kazi hasa uwapo na mamlaka ogopa sana kumtenda isivyo aliye chini yako kwa sababu kisasi hakitatoka kwake bali walipa kisasi ni wale waliowezeshwa kuwa hapo na uliye mtenda.

Kosa hilo alipata kulifanya mfu mmoja na majibu yake ni bayana ndiyo yaliyo sababisha yaliyomo.

Hivi, unamfukuzaje kwa fedheha bosi aliyenisaidia niwe hapa jikoni kwako nikikupikia na nikuache salama?!

Hamna lolote, kwa katiba hii wataishia kuwa na hasira za siku 2 kisha watatulia tu.
 
Watu hubadilika wakilamba asali mkuu. Binafsi siamini kama ataleta maumivu.
 
Mbona kama unaashiria kuleta kisasi juu ya mabadiliko ya ghafla ya utenguzi na uteuzi!

Funguka vizuri ulilotaka haswa tulisikie na tulijadili kwa uwazi...
 
Eneo lolote la kazi hasa uwapo na mamlaka ogopa sana kumtenda isivyo aliye chini yako kwa sababu kisasi hakitatoka kwake bali walipa kisasi ni wale waliowezeshwa kuwa hapo na uliye mtenda.

Kosa hilo alipata kulifanya mfu mmoja na majibu yake ni bayana ndiyo yaliyo sababisha yaliyomo.

Hivi, unamfukuzaje kwa fedheha bosi aliyenisaidia niwe hapa jikoni kwako nikikupikia na nikuache salama?!
🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom