Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
Wadau kwa yeyote mwenye ufahamu anaweza kusaidia hili ni wazi kampeni za uchaguzi mdogo zimeanza huko kalenga na tamati yake 15.3.2014 ambapo 16.03.2014 utafanyika uchaguzi wenyewe ..
sasa swali langu ni je mbunge atakaye chaguliwa atakuwa na haki kisheria kuhudhuria bunge la katiba..?
kama ndio ataapishwa na nani..?
na kama jibu ni HAPANA si itakuwa ni kuwanyima haki wana kalenga uwakilishi..kwenye hili BM ..?
sasa swali langu ni je mbunge atakaye chaguliwa atakuwa na haki kisheria kuhudhuria bunge la katiba..?
kama ndio ataapishwa na nani..?
na kama jibu ni HAPANA si itakuwa ni kuwanyima haki wana kalenga uwakilishi..kwenye hili BM ..?