Kama ikishinda ccm ataingia hili bunge la katiba na atalipwa posho zoote kuanzia siku wenzake walipo anza kuzilamba kwani huko ni posho tu zinaangaliwa.
Akiwa ni wa chama chochote cha upinzani, zengwe atakalo wekewa hata pale mlangoni hafiki. Mpaka Bunge lirudi mwakani kwenye bajeti. Mark ma word labda asiwepo Lukuvi