Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
- Thread starter
-
- #21
DNA inafanyika kwa mtoto tumboni
Hana haja ya kuwatoa damu hao wanaume, anaweza kutumia kama miswaki, nywele zao kupeleka.
Ili asijichangane ningemshauri apeleke nywele za mmoja tu, na majibu yakitoka atajua baba ni yupi.
Ila ushauri mwengine ni kuwa aache tabia hiyo....haikubaliki
dah! I feel for the lady jamani.... Kuna wanaume ving'anga'nizi waweza mlaumu huyo dada but ukweli unabaki mwanaume kama huyo kazi ipo kumpotezea...
B2t kama alishapanga azae na huyu jamaa mpya, that is well and good. But hio mimba hata kama ni ya jamaa mpya huyo jamaa wa kale hawezi elewa ataona kama anapigwa tu changa la macho, hivo it is better mdada ajiandae kwa dna test mtoto atapo zaliwa... Hata hivo pamoja na matendo yoote ambayo jamaa anamfanyia ama niseme kumng'ang'ania naona huyo dada bado anampenda huyo mme wa mtu na hicho ndo kinamfanya ashindwe kutoa maamuzi yenye msimamo...
Sasa kama alipanga kuzaa na jamaa yake mpya angetumiaje kondom? na pia, huyo kinganganizi naye anataka mtoto, alikua dada yuko kwenye denger days, hivyo na yeye alingangania yango na yango! Ndio kinachompa dada huzuni!
nyie madada wa jf mnasema hamtaki nyumba ndogo,
sasa huyu mwenzenu mnamkubali je, kwenda kulala na mibaba miwili
kwa siku huku akijua jamaa ana mke,
haya iwe kalala na mumeo ungemshauri nini.
napita tu jamani sis under 18
Rose hii ndio inanifanya niseme haya yote kweli ???
Asha,hiyo DNA sample za wanaume zake ataipataje? halafu siku hizi DNA test nasikia mpaka kwa order ya mahakama,ataipataje hiyo order?
Halafu nyie kinamama kwa kuteteana mmezidi,yaani mnaona kabisa mwenzenu kalikoroga lakini mmo tu mnatetea,kha! alishindwa nini kumwambia huyo mme wa mtu kuwa 'anaumwa kichwa?' mtaka yote tu huyu , aende zake huko.
Tatizo sisi watanzania tumezoea kulalamika sana! Kwani hao mafisadi walifikaje huko walipofika? Walitumia akili na opportuinities zilizokuwepo.Siku nyingine huwa unatoa point wewe!! Huwa unaniboa pale tu unapowalamba miguu mafisadi na kukumbatia magamba. By the way habari za Mwanza? nilijaribu kukuangalia pale PPF - Gold crest hotel sikukuona au ndiyo ulitoroka nilivyokuambia nitakutafuta?
siku 1 unalala na watu 2!!! hii takwimu inatia kichefuchefu!!hata bongo muvi haiko ivyo!!
we Rose we na hilo jicho lako long time nshakwambia ntakuchapa.si km kuteteana ...mtu akikosa na akikiri amekosa kwa muungwana basi HATAKUWA NA MUDA TENA WA KUANZA KUMUHUKUMU AU KUMSIMANGA..i..limetokea la kutokea no way out ..na ameshajutia kosa basi ni vyema akashauriwa the best way ya kucover situation...
si km atujui km kakosa ..lahasha kaka twajua sana km kakosa tena kakosa sana..lakin ukipima uzito wa masononeko yaliyoko ndani yake sizan km u ni wakt mwafaka wa kuendelea kumsuta.kumwongezea masononeko...
afu ujii alikuwa kwenye situation ipi ..kwa upande wa uyo jamaa na yeye pia...kuna wanaume ata ukimwwambia naumwa kichwa anaweza kukujibu kwan KICHWA KINAHUSIKA VIP NA UKU DOWN...
msimuhukumu.kuwen fair.msaidien 4godsik
kaaaaaaazi kweli kweli!!!!!Aendelee na mpango wake tu, aseme tu mtoto ni wa huyo
mchumba mpya alie single.
Kama ana nguvu aje afanye DNA ila kama anataka kupiga kimya auchune tu aseme ni mtoto wa huyo single ili ndoto zake zitimie na aishi kwa amani japo anaweza kuwa na kitu moyoni kila siku, kwanza si alifanya na huyo kaka siku ya 10 na hata hiyo ya 13 jamaa single ndio alianza sio, akomae tu.
Asipanic wala nini, kwani nyumba ngapi baba halisi wa watoto ni siri ya mama? Itakuwa yeye ambaye jamaa alipiga mechi kabisa
na wote pekupeku utadhani hawajui duka la condom liko wapi,mtatuua nyie wanawake,sisi tunajihemu tunakuwa na mpenzi mmoja kumbe nyie mnaliwa dabo dabo.siku 1 unalala na watu 2!!! hii takwimu inatia kichefuchefu!!hata bongo muvi haiko ivyo!!