nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Mmh..siku hiyo hiyo kalala na wanaume wawili bila kinga yoyote?? Kwa mtindo huu hatuponi kabisa!!
Wana JF Rafiki yangu mpenzi amekwama, ana huzuni kubwa sana ya yaliyompata. Naomba ushauri wenu. Sitaweza kueleza kila kitu. lakini ni long story.
Kifupi. Ana jamaa ambaye ni mume wa mtu. walianzana naye kama 4 years ago. wakati anamfuata, jamaa alisema kuwa hana mke kwa sasa. Mkewe alifariki. Jamaa alionyesha mapenzi makubwa sana. Baada ya miaka 2, dada akajua kuwa jamaaa ana mke. Kila alilifanya dada ili kumtema jamaa, imeshindikana. Jamaa ni kinganganizi, amejipeleka kwa ndugu wote wa dada eti anadia anataka kuoa. Jamaa habanduki kwa dada, kila siku yupo,. Jamaa ana wivu, dada hana rafiki wala nini! dada hana hata nafasi ya kupata mchumba.
Ikatokea bahari dada amekutana na mtu ambaye wanapanga kuoana, shida atamtemaje jamaa, ambaye yuko violent na anakaba hata corner?
Sasa dada akapanga kuzaa na jamaa ili mimba ikitokea amwambie jamaa ili waachane. Bahati nzuri dada akafanya mapenzi na mchumba siku ya 10 na wakafanya tena siku ya 13 machana. Bahati mbaya siku hiyo hiyo ya 13 jioni jamaa akaja, na dada hakuwa na ujanja wakafanya mapenzi usiku. Dada ikamuuma sana, kwa kuwa hadi sasa hajui baba wa mtoto atakuwa yupo. Mzunguko wake ni 28 days. Msaidieni wana JF, msimcheke, msimchambe, ni ya dunia haya!
kila nikiunganisha maelezo naona mhusika ni Okada ..pole dada DNA itasaidia
Rose!
God was very brave to create people like you! My friend, who is reading these messages, will be very happy for your support!
mtoto akiwa na miaka 18 mme wa mtu anayetaka umzalie atakuwa na miaka 77 kwanza kwa hesabu za haraka huyo mme wa mtu mwakani anastaafu kwa sasa ana 59yrs ...aahaaaa hata km mke wake mgumba sijafanya bado biashara hiyo lol acha tamaa hapo bila shaka umemfwatia hela na shukuru ungekuwa unajua mamo kisawasawa ungekuta keshakifia huyo ..Dada miaka 33
Mume wa mtu miaka 52
Mchumba mpya miaka 37
Matatizo mengine ni ya kujitakia. Hivi kweli huyo dada kama angedhamiria toka moyoni kumuacha huyo mwanamume angeshindwa???? Sio kweli. Inaonekana bado alikuwa anampenda kwa sababu ya misaada anayopata. Na kwa nini aanzaishe mahusiano mapya wakati ameshindwa kumuacha wa zamani? Hizi tabia za sitaki nataka huponza wengi na kusababisha watu kuuana. Hana ujanja, atake asitake huyo mtoto itabidi awe wa mwanamume wa mwanzo.
Naye huyo dada anamtaka jamaa. Kwa mtu ambaye humtaki mbona kumtema kitu ndogo sana within seconds tu hakutafuti tena.
Nadhani baba wa mtoto ni ngono zembe mbili kwa siku moja. Akapime kwanza kabla ya kujua responsible ngono zembe.
Wooote hawana akili na wote ni warafi na vipofu wa mapenzi sitegemei kabisa wewe dada mwenye umri wa miaka 33 unafanya maamuzi ya aina hii nilitumai maamuzi haya yamefanywa na binti aliyehitimu darasa la saba au kidato cha nne na suala kama hili linapomfika mwanaume mwenye maamuzi fyatu ndo huwa unasikia fulaani kamuua mwenzi wake sababu ya mapenzi.Kama we dada si malaya mkubwa ni nini ufanye mapenzi mchana na mchumbaako usiku ufanye na hawala iko wapi heshima ya mchumbaako,inaonyesha waazi kuwa hata ikitokea huyo mchumbaako akakuoa akienda kazini utakuwa unampanulia huyo mzee wako wa miaka 52.uko wapi uthamani wa mwili wako? Dada zetu kuweni na heshima ktk miili yenu ioneeni huruma!!!!!!!.
kila nikiunganisha maelezo naona mhusika ni Okada ..pole dada DNA itasaidia