1. Lameck Airo na Sarungi wanatoka mji wa utegi.
2. Alikuwa mpiga debe mkuu wa sarungi kwa muda mrefu.
3. amesoma utegi primary, na Kotwo darasa la saba, kama kajiendeleza sina uhakika.
4. Lackairo hotel ni yake, jamaa alianza kufanya biashara ya toka akiwa primary school, enzi hizo biashara za magendo toka kenya. biasahra yake ilipopanuka akaamia Mwanza.
5.Jamaa ni mchakarikaji sana, na amewasaidia baadhi ya watu masikini wa Rorya, Sarungi yeye alikuwa amelala.
6. Ubunge kwake ni maji marefu, hajui kujenga hoja, kupambanua mambo, angebaki kwenye udiwani.
7. Umasikini uliyokithiri Rorya na tanzania kwa ujumla ndo inayosababisa wananchi kuwaona wenye vijisenti kama mungu mtu.
8. Ndo kati ya madiwani waliyoleta vurugu kuhusu makao makuu ya rorya iwe wapi, rushwa ilikuwa nje nje.
Ila jamaa angendelea na biashara zake asitafutana na mambo ya siasa angefika mbali sana, maana biashara kaianza utotoni. Bungeni hawezi kufungua mdomo.