Atanitambua wallahi, hawezi kunichukulia mke wangu.!

Naunga mkono hoja; yaani mtambuzi anataka kutuambia mke au mume kutembea hovyo ruksa kwa kuwa hakuna anaye mmiliki. Hizo ni theory kwenye real life tutaendelea kuwa na wivu hacha tuitwe wajinga.

na wajinga ndio waliwao nyumba kubwa upo hapo,hivyo endeeleeni kuitwa wajinga.
 

hii heading ya thread yako nilifikiri umefumania mtu kumbe story.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…