ATCL haina utaratibu wa kutoa taarifa ya uthibitisho kwa kukata tiketi kwa email

ATCL haina utaratibu wa kutoa taarifa ya uthibitisho kwa kukata tiketi kwa email

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Enzi za FASTJET ukikata tu tiketi unapata notifications kama zote na unakuwa na uhakika ulicholipia kimefika kweli...ila hawa ATCL ni jipu hawatoi notifications yaani wapo kizamanizamani sana. Nani mtu wenu wa IT desk nyie!!

Nawaza FASTJET iruhusiwe kurudi ilete ushindani hili shirika lichangamke.
 
Hata sasa hivi ukikata Precision Air unapata Emails kama zote.
 
Hata sasa hivi ukikata Precision Air unapata Emails kama zote.
Precision wako vizuri unapata notification kuanzia kwenye simu ila ATCL sijui Matindi na wenzie wanafeli wapi.

Unalipa kisha unakuwa Huna uhakika kama malipo yako yamepokelewa ama laa
 
Lile shirika ni hovyo unaweza amka unajianda kwenda airport unafika ndio unakutana na taarifa ndege yako imepitiliza kituo utaondoka na ndege ya jioni. Wao na kubadirika route ni kawaida
 
Precision wako vizuri unapata notification kuanzia kwenye simu ila ATCL sijui Matindi na wenzie wanafeli wapi.

Unalipa kisha unakuwa Huna uhakika kama malipo yako yamepokelewa ama laa
Kwani inakuwa haioneshi kule ulipofanyia booking?
Mimi kwenye hizi AirTanzania naendaga kwa mawakala wao kabisa kununua ticket naondoka nanuhakika.
 
Kwani inakuwa haioneshi kule ulipofanyia booking?
Mimi kwenye hizi AirTanzania naendaga kwa mawakala wao kabisa kununua ticket naondoka nanuhakika.
Acha tu sasa online booking ndo rahisi mazingira mengine hao agents hawapo kama huku migodini
 
ATCL gani unayoizungumzia wewe, hawa sikuhizi wanakuapdate kwa email tangu unafanya booking, kama umeilipia, au ime expire unaataarifiwa. Tena siku hizi wana online service ya kucheck-in service. Huhitajiki kufika epairport or kwenye ofisi zao kuchek in endapo utakuwa umejisajiri kwa huduma hiyo. wacha urongo
 
ATCL gani unayoizungumzia wewe, hawa sikuhizi wanakuapdate kwa email tangu unafanya booking, kama umeilipia, au ime expire unaataarifiwa. Tena siku hizi wana online service ya kucheck-in service. Huhitajiki kufika epairport or kwenye ofisi zao kuchek in endapo utakuwa umejisajiri kwa huduma hiyo. wacha urongo
Hakuna kitu kama hicho...labda atcl ya Australia
 
Hakuna kitu kama hicho...labda atcl ya Australia
Mbona ipo mkuu? Mimi natumia sana ATCL, na wana hiyo huduma kama alivyoeleza, siku hizi mimi hata check in nafanya online tu mkuu.
Kuanzia nafanya booking (kabla hata sijalipia tiketi), wanani e mail kuniambia kuhusu booking yangu, nikilipia wanani e mail pia, hatua kwa hatua.
 
Back
Top Bottom