Tetesi: ATCL hawafanyi kazi siku ya leo ni sikukuu

Kwahiyo abiria walikata tiketi na kupanga safari iwe leo na ATCL wameamua kupiga kimya? Kirahisi hivyo?
 
Dodoma wanalilia ruti ya Dodoma -Mwanza. ATCL ichangamkie fursa hiyo.
 
Sijui ni kwa nini umetumia hilo neno Hapa kazi tu!! Lakini ningependa kujua hao walioharibiwa ratiba na ATCL walikata tkt kwa hizo ndege?? wakati ATCL haikuepo kwa hizo tarehe, kila ulikuwa ukijaribu kuingia kwenye system yao kwa hiyo tarehe unakutana na neno NO FLIGHT sasa hao walipata wapi hizo tiketi.
 
Kwahiyo abiria walikata tiketi na kupanga safari iwe leo na ATCL wameamua kupiga kimya? Kirahisi hivyo?
Achana naye mfitini huyo ujashtuka tu, kwanza siku yenyewe ya sikukuu hakunaga abilia, abilia wengi wana safiri before au after sikukuu hata kama sikukuu haiwahusu.
 

Jamaa muongo anadhani ticket za ndege kama mabasi ubungo. Gari ikishindea kuondoka daladala wanakamata fursa. Eti precision wamekamata fursa hahaaa.
 
inavosemekana, watu walikata tickets

ananiambia hata wao precision wameongeza flights Jana usiku baada ya kuona kuna ulaji mkubwa siku ya Leo

Sidhani kama walikata tiketi na ATCL kwa makusudi wameamua kutowasafirisha. Ninachokiri PW ni wazuri kwenye kutumia opportunity endapo wataona kuna abiria ndege yao imekuwa cancelled au kwa namba yoyote safari yao haipo ila sio kwa kuamsha ndege nyingine bali ni kuichelewesha na kuongeza wahudumu.
 
mkuu labda hujawahi kupata emergency
huwa kunatokea siku abiria wanakuwa wengi, na huwa kuna sababu

Elimika kwanza ndiyo uanze kujibizana hapa

tambua tu bombardier zipo sikukuu Leo
Emergency ndio zipo na huwa zinauzwa ticket za NO SHOW. Nimeshasafiri sana kwa mtindo huo.

Ila usitake kuleta uongo kuwa hao abiria walikuwa wa bombadia. Utaendaje eapot kupanda ndege ambayo haina ratiba siku hiyo??

Hayo ya precision hao walikua ni wateja wao tayari. Acha kupotosha
 
Nadhani tatizo kulipa posho si unajua posho zote zimefutwa na leo ni sikukuu
 
Serikali kufanya biashara ni ngumu sana,

alikuwepo baba mmoja wanamwita kambarage,yeye nae alianzisha serikali iwe na viwanda,makampuni etc,
kilichomtokea hadi leo hakuamini,ikabidi ajing'atue mwenyewe,
maana viwavi jeshi walishambulia mali ndani ya miaka 5,kwisha
 
ATCL ni baba wa aviation TANZANIA kama ilivyo NSSF kwenye social security.Precision wenyewe wamefaidika sana kwa uzembe na Human resource za ATCL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…