Acha uongo wewe do.gi apo ni Bukoba Manispaa kisiwa cha Msira...nyambafuNi katika awamu hii tu watanzania kwa mamilioni wamepata maji safi na salama, habari kama hizi zipo nyingi na ndio maana 2020 hakuna mbunge wa upinzani atashinda
Aiseee hii ni hatari yaani upo tayari KUPIGA MAGOTI NA KUINAMISHWA?Kwa JPM kila Goti litapigwa
Unataka kusema gazeti la Mwananchi ni Chadema au mawazo yako yako programmed moja kwa moja toka Lumumba.Duh.. Chadema manyumbu kweli kweli, sasa hizi ndio hoka watazo enda nazo kwa wananchi 2020 kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Morogoro mjini hapo tu maji hamna au upendeleo upo kanda ya ziwa peke yake??Ni katika awamu hii tu watanzania kwa mamilioni wamepata maji safi na salama, habari kama hizi zipo nyingi na ndio maana 2020 hakuna mbunge wa upinzani atashinda
Yepi hayo ya u miss
Umepata kibari cha kuanza kampeni za uchaguzi ujao ?Ni katika awamu hii tu watanzania kwa mamilioni wamepata maji safi na salama, habari kama hizi zipo nyingi na ndio maana 2020 hakuna mbunge wa upinzani atashinda
tatizo mnafanya mambo sirini, kama mnajua kuwa mnayoyafanya ni sahihi kwanini kuyafanya gizani? kama sio mange kufukua hili kaburi wala serikali isingekuja na huu utetezi wakeKuna watu roho zinawauma wakiziona hizi ndege zinafanya vizuri, yaani wao leo wakisikia dreamliner imeanguka na kuua abiria wote inaonekana watafanya sherehe kubwa sana, upinzani wa aina hii upo Tanzania tu, mpinzani wa Nchi hii hana tofauti na gaidi
Hivi kumbe mpaka leo kuna watu mnamuamini huyo mwehu? Poleni.tatizo mnafanya mambo sirini, kama mnajua kuwa mnayoyafanya ni sahihi kwanini kuyafanya gizani? kama sio mange kufukua hili kaburi wala serikali isingekuja na huu utetezi wake
Hizo awamu nne zilizopita zserikali ilikuwa inaongozwa na chama gani, na sasa hivi ni chama gani kinaongoza?Ni katika awamu hii tu watanzania kwa mamilioni wamepata maji safi na salama, habari kama hizi zipo nyingi na ndio maana 2020 hakuna mbunge wa upinzani atashinda
wapo wengi wakiwepo viongozi wako ndio maana baada ya yeye kutoa siri viongozi wako wamekimbilia kutoa utetezi. kama angekuwa haaminiki basi viongozi wako wangekaa kimyaHivi kumbe mpaka leo kuna watu mnamuamini huyo mwehu? Poleni.
ATCL ni shirika la umma lazima litoe ufafanuzi kwa shutuma zozote dhidi yake na hawakumjibu huyo mwehu bali waliwatoa wasiwasi watanzania wapuuze huo uzushi.wapo wengi wakiwepo viongozi wako ndio maana baada ya yeye kutoa siri viongozi wako wamekimbilia kutoa utetezi. kama angekuwa haaminiki basi viongozi wako wangekaa kimya
Kama ni shuirika la umma kwanini lisubiri hadi mange kimambi atoboe siri na lemutuz atoe utetezi wa uongo ndipo nao waje kutoa utetezi?ATCL ni shirika la umma lazima litoe ufafanuzi kwa shutuma zozote dhidi yake na hawakumjibu huyo mwehu bali waliwatoa wasiwasi watanzania wapuuze huo uzushi.
Kwani ni mara ngapi taasisi za serikali zinatoa ufafanuzi juu ya habari za kughushi? Msigwa mara nyingi amekua akitoa kanusho kwa matamko fake yalioghushiwa kwa mfanano wa maelezo rasmi kutoka kurugenzi ya mawasiliano Ikulu.
Kwa hiyo kila kitu kinachoendelea ATCL kitangazwe kwenye media? Huo utaratibu upo nchi gani? Watataarifiwa wahusika na sio kila mtu.kwanini lilisubiri hadi mange kimambi atoboe siri na lemutuz atoe utetezi wa uongo ndipo nao waje kutoa utetezi?
Hili zoezi la Ahadi feki tumelizoea kila wakati wa Uchaguzi unapokaribia.
Gaidi ni yule anyeua watu na kuhihifadhi vikundi viohu vya wasiojulikan.Kuna watu roho zinawauma wakiziona hizi ndege zinafanya vizuri, yaani wao leo wakisikia dreamliner imeanguka na kuua abiria wote inaonekana watafanya sherehe kubwa sana, upinzani wa aina hii upo Tanzania tu, mpinzani wa Nchi hii hana tofauti na gaidi