ATCL imefanya biashara, Serikali imetoa pesa kwenye wallet na kuweka mfukoni.

kamwamu

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,521
Reaction score
3,309
Serikali imekodi ndege ya ATCL ktk safari za rais nchi za nje hivi karibuni. Kwa muonekano wa haraka itaonekana shirika limefanya BIASHARA kubwa. Atcl inamlikiwa na serikali kwa 100%. Wataalamu wetu nao wamegeuka wana siasa, kuyasema ambayo mioyoni mwao hayamo. Kama kuna mizigo
ilisafirishwa wakati wa safari hizo na kuliingizi shirika mapato, well and good. Vinginevyo kwa serikali kimapato ni sawa na kutoa pesa kwenye wallet na kuiweka mfuko wa suruali.
 
Hizo ndo comedy za awamu ya Tano eti ttcl inatoa gawio kwa serikali lakini hapo hapo inahitaji ruzuku ya 1.3T kuboresha mitambo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…