atcl- kuchafua wasafiri macho!

YoungD

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
1,275
Reaction score
1,332
wale wadada kwa video za bongo wapo wapi aiseee?? hapa imenibidi kuosha macho.....


 
Aisee hii sasa ni hujuma. Nikiingia kwenye ndege nipate ndio wao wapo najifanya nimeshikwa na kifafa, nikiamka naitisha refund. Afadhali nikapande daladala, roho safi! [emoji1][emoji1][emoji1]
To be honest ATCL hapo wanafeli big time,
Hao kina Mwajuma ndalandefu kuwa kwenye Cabin crew inaonesha hatuko serious.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ukiwapeleka Kenya ni vigoli kabisa wanaweza hata kuhongwa Harambee house mchana kweupe
 
Hao wanawake ni warembo tuu. Tatizo ni kuwa waafrika tuko na tatizo la ukoloni. Yaani urembo ni pamoja na features za "kizungu."
Suala sio uzungu mkuu, suala ni Kazi yenyewe,
Ni obvious Wanahitajika mabinti wenye sifa za Air hostess, not otherwise, tena wamejaa tele mitaani huku na elimu zao, Mwakyembe amewashauri wachukue basi hata wale washiriki wa miss Tz wawasaidie,
Tatizo inaonekana hata uongozi huko ATCL ni ushamba mwingi,
I am very disappointed.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache ubaguzi jamani, so hao kina dada wanafaa kufanya kazi gani? Au ukihudumiwa na huyo dada ndege haitaenda the required destination?
Ndugu yangu hamna cha ubaguzi wala nini. Ndio biashara hiyo. Kuwavutia wateja kupitia wanachokiona kwa macho ndio kila kitu kwenye biashara za aina hii.
Ndio maana wachina huwa wanasema 'Customer is King'!
 
Macho imechafuka hapo hapo, wateja wapewe omo(ET) na Jik(KQ) macho ingare. Mambo ya kupewa Ndume soap (ATCL) tumekataa.
 
Mkuu hao wana ubaya Gani, picha ya demu wako tafadhali
 
Tuache ubaguzi jamani, so hao kina dada wanafaa kufanya kazi gani? Au ukihudumiwa na huyo dada ndege haitaenda the required destination?
Hivi unawavitiaje wateja kwa wanawake wa aina hii wenye sura za baba zao? Embua angalia walivyo kaa tuu eh?

Mzungu akipanda atcl hapandi yena kama wahudumu wenyewe sura hata hazikaribishi.

Kuna sekta zinahitaji sura tamu, sura nzuro, sura zinavutia.

Angalia mashirika mengine yanavyoganya jmn. Hata kuiga napo mmeshindwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaa duuuh ....chezeaa msahili weeh! awameokota okota wanyakyusa na wasukuma kwa mama ntilie na kuwapa ajira kwa dirimulaina..
 
Kwani hawana taaluma ya utumishi, hawasomea hizo kozi, au wewe unajua vigezo vya kuwa mhudumu wa ndege ambavyo hawajakidhi,

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio hivyo vigezo unavisemea. Unajua yale mapokezi ya kwanza mgeni anapoingia kwenye ndege huwa yana maana kubwa sana.

Mgeni anapanda atcl mapokezi anakutana na hizi sura.. hata kama wanahudumia vizuri hatokuwa na ile hali ya uchangamfu.

Angalia mashirika.ya wenzetu kwenye hizi nafasi wameajiri visu.. mdada hata kama si mzuri lakin ana look sexy as hell. Mgeni lazima afurahie safari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu humu wana akili za Kilumumba yaani hawajui nini maana ya Biashara na uteja....hakuna kitu abiria hasa wa kiume tunaangalia kama reception za wanawake kwenye vyombo vya usafiri.....kwa hizo sura hapo hazistahili kuwa ndani ya ATCL kwani hakuna sura hata moja hapo unaweza ikuta kwenye mashirika makubwa ya ndege za abiria kama Qatar au Emirates labda kama Anasaidia Cargo kubeba na kishusha vyuma vizito!....."Business is reception"
 
Hao wasichana wako sawa.

Kama wanaelewa kazi vizuri sioni shida. Kwanza naweza penda kuoa dada hao.

Wakenya wangependa wale prostitute wamejipaka rangi na bleach kupewa kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…