Soko haliji siku moja.Namna nzuri ya kutumia kodi zetu ni kuwa na mipango mizuri ya matumizi. Huwezi kufugua Atcl huku hujui kama soko la ndani lipo vizuri.
Kwahio??We jumbuka kigoma ni ruti moya, ni kawaida ndege kupungukiwa abiria, kuna jamaa alipost humu alipanda ndege kutoka wapi sijui kuja tz akajikuta abiria ni yeye pekenyaje.
60.000 ni kidogo sana maana ni 2000 per day au 1000 per sector.ndege zao zinz capacity ya abiria 800 so zinaruka mara moja kwa siku.Ndege 8 zinabebaje watu milions kwa mwezi Mkuu? Ulitafakari vema kweli?
Acha uongo, Route ya Kigoma ni moja kati ya Route zinazoingiza pesa nyingi lwa ATCL. Inatumiwa na wafanyabiashara wa Congo, Burundi na Kigoma pia na ndiyo sababu hata idadi ya safari inaongezwa kila uchwao. Mimi ni mmoja wa wasafiri wa route hii kupitia ATCL na nakuhakikishia ni shughuli pevu kupata tiketi ya ATCL Kigoma - Dar maana abiria ni wengi mno.Route ya Kigoma nilipanda Juma lilopita tulikua kila abiria kajichahulia siti yake, wachache mno hadi nikataka kuuliza kwanini tuharibu kodi zeru wenyewe kiasi hiki?
We ni mwehu kumbe! Ndege 8 ulitaka zihudumie watu milioni 60 kwa mwezi!!????Yaani unashindwa kuelewa wamefeli wapi? Kama tanzania ina watu mil 60 alafu soko lako linapata 60 elfu basi wewe hujui kupanga. Maana bora uwe na ndege tatu ziwe busy kuhudumia hao watu kuliko midege 8 ambayo haina tija.
Yaani unajifanya nsafiri ni wewe tu? Nikiweka hapa ticket zangu bado uattendelea kuniita muongo!?Acha uongo, Route ya Kigoma ni moja kati ya Route zinazoingiza pesa nyingi lwa ATCL. Inatumiwa na wafanyabiashara wa Congo, Burundi na Kigoma pia na ndiyo sababu hata idadi ya safari inaongezwa kila uchwao. Mimi ni mmoja wa wasafiri wa route hii kupitia ATCL na nakuhakikishia ni shughuli pevu kupata tiketi ya ATCL Kigoma - Dar maana abiria ni wengi mno.
Porojo tupu, huna hizo tiketi na huwezi kuweka. Kwa namna ulivyoandika hujawahi kusafiri kwa ATCL Dar - Kigoma.Yaani unajifanya nsafiri ni wewe tu? Nikiweka hapa ticket zangu bado uattendelea kuniita muongo!?
Acha dharau dogoPorojo tupu, huna hizo tiketi na huwezi kuweka. Kwa namna ulivyoandika hujawahi kusafiri kwa ATCL Dar - Kigoma.
Dikteta anafanya maamuzi peke yake hakuna wa kuhoji wala nini?Hivi kwa akili za kawaida unaweza kujisifia kuhudumia watu 60,000 kati ya watu mil 60? Na wewe ukatoka kifua mbele kuwa uko vizuri! Kwamba eti soko lako limekua? Hii ni aibu kubwa.
Nilitegemea sababu hii nchi ipo uchumi wa kati basi mje na idadi ya watanzania mil 15 ambao wana uwezo wa kulipia tiketi ya laki 3 kutoka Mza kwenda Dar. Lakini taifa lina watu mil 60. Watu elfu 60 kwa kwa mwezi wanapanda ndege mnajisifu huu ni mdhaha.
Kwa kweli ni kuwa hii Atcl ya mr Matindi imefufuliwa kisiasa na wala sio kusaidia taifa kiuchumi. Maana kama unafufua shirika la ndege kwa kununua ndege nane cash lazima uhakikishe raia wako watapanda hizo ndege kwa bei nafuu. Ok je, soko la nje zitamudu?
Ni wazi kuwa kufanya maamuzi kwa kukurupuka hayafai. Leo hii tumenunua ndege,hatuwezi kuzipanda wala hakuna dalili za kuongeza pato la taifa.
Wapuuzi wakubwa nyie, ndege zinaondoka na watu 7 alafu mnajisifu?Porojo tupu, huna hizo tiketi na huwezi kuweka. Kwa namna ulivyoandika hujawahi kusafiri kwa ATCL Dar - Kigoma.
Zanzibar ndege ya kubeba watu 800?60.000 ni kidogo sana maana ni 2000 per day au 1000 per sector.ndege zao zinz capacity ya abiria 800 so zinaruka mara moja kwa siku.
Kwa Nchi yenye vivutio vya utalii vingi ndege ni sehemu ya kurahisisha ili kupata watalii wengi na kuwasafirisha kwa kujali muda tatizo zimenunuliwa nyingi kwa mkupuo na cash serikali inadhaminika isingefanya hivyo wangenunua hata mbili tuu kwa mkopo ili waone zinakwendaje na wangepata moja kubwa na ingine ndogo wangefanikiwa ila wamenunua ndege Kama bus za air msae eti zipishane daah...
Hapana deni wanalipa tuu mdogo mdogo kama yalivyo madeni mengine ndege sio magari unanunua nyingi wakati huna uhakika wa biashara...ni bora inge kopa ili kama biashara haiendi vizuri idhurumu (isilipe deni) sio?
Kama hupandi wewe sio lazma wote wasipande nakama unapanda wewe sio lazma wote wapande ndege zilizopo hazikidhi idadi ya mwananchi lasivyo unamanisha mkuu anunue nyingine ndege kama 500 hivi ambapo hata USA sio wote wanapanda ndegeHoja hapa ni idadi ya watu nchini Tanzania,alafu uwiano wa watu kuweza kupanda ndege,chekecha akili yako.
Anakaroho ka kichawiMtoa mada uko na mtazamo hasi sana. Unapenda kuona mambo yajishindikana.
Una roho mbaya na unafurahi kuona mtu/watu wakishindwa. Hii ni roho ya kishetani 100%.
Zile si hela za JPM, ni kodi zetu wasaka tumbo. Tunapaswa kuziombea mema ili zizalishe zituletee maendeleo na pia kurahisisha usafirishaji.
Nilitegemea ungekuja na namna nzuri ya kufanya ili kodi zetu zisiende bure(kama ni kweli) badala yake zizalishe na kuajiri vijana wenzetu kwenye sekta ya anga.
Anyway umetumia uhuru wako wa kutoa maoni.