mkuu akuna alieandikiwa kwenda jnb m napingana na wwewe kidogo hapo,,siku zote rte yoyote kinachotakiwa kwanza kaka uwe stable kwenye marketing...na comm
nini maanna yake,viongozi wa atcl wamekuwa wakiamua wanachojua wao liwalo na liwe bila kuangalia vitu vya maana..mfano halisi rais alihimiza wapewe hela waanze kuruka mara moja,,hata kama ni mfalme ameagiza ,,wamekuwa chini kwa miezi miwili...ok,na baad aya hapo hakuna alieamua kuitangaza mpaka watu tunaruka na ndege zao tunawaambia fanyeni marketing.,,kuna mbinu nyingi hata wangeanza na special fair kuwa attract abiri hao punguani wao wa liokalia viti uko marketing hawana ata akili...hiyo RTE mkuu inauzika wacha....m nakumbuka nilishawahi kusafiri TCLA IKO FULL MARA T KWENDA S.africa,so tatizo ni kufwata principle,,,kinachofanyika sasa hizi hata schedule maalum natumain hawana...wewe utaweza kuttoka ata mkipewa billion 500 za mwana kjkj
luv u tz