Wajifunze wapi na wait wanaletewa ndege tupia mishahara mwisho wa mwezi hata ndege zisiporuka Wana uhakikaBado nauli ipo juu sana,wajifunze kwa fast jet walivyokuwa wanafanya
Waliiua fastjet ili wabaki peke yao lakini bado wanashindwa kujiendesha.Bado nauli ipo juu sana,wajifunze kwa fast jet walivyokuwa wanafanya
Mambo taratibu taratibu naimani itapungua nauli ipo siku tuHapa chini ni bookings za ATCL & Precision zilizofanywa na vijana fulani wanaotarajia kusafiri miezi kadhaa ijayo.
Tarehe, destinations na madaraja - vyote vinafanana kwa bookings zote mbili.
Tumekuwa tukiaminishwa kuwa ATCL, pamoja na malengo mengine, ipo kwa ajili ya kuwahudumia Watanzania wenye kipato cha chini wenye uhitaji wa kutumia huduma ya usafiri wa anga. Sasa inakuwaje nauli inayotozwa na public airline iwe ya juu kuliko ile ya private airline? ATCL tunakwama wapi enyi wanyonge wenzangu?
View attachment 1930588
Hahahahaah siwameajiri vijana watakosaje ubunifuHuwa tunalaumu mengi sana kuhusu ATCL inavyojiendesha, ila inavyoonekana hiyo management imeishiwa kabisa ubunifu hata common sense hawana.
Ila fast jet walijitahidi sana kwann sisi hatuwezi kushusha bei?Bado nauli ipo juu sana,wajifunze kwa fast jet walivyokuwa wanafanya
Hapa chini ni bookings za ATCL & Precision zilizofanywa na vijana fulani wanaotarajia kusafiri miezi kadhaa ijayo.
Tarehe, destinations na madaraja - vyote vinafanana kwa bookings zote mbili.
Tumekuwa tukiaminishwa kuwa ATCL, pamoja na malengo mengine, ipo kwa ajili ya kuwahudumia Watanzania wenye kipato cha chini wenye uhitaji wa kutumia huduma ya usafiri wa anga. Sasa inakuwaje nauli inayotozwa na public airline iwe ya juu kuliko ile ya private airline? ATCL tunakwama wapi enyi wanyonge wenzangu?
View attachment 1930588
Yani ulimwamini magufuli?Hapa chini ni bookings za ATCL & Precision zilizofanywa na vijana fulani wanaotarajia kusafiri miezi kadhaa ijayo.
Tarehe, destinations na madaraja - vyote vinafanana kwa bookings zote mbili.
Tumekuwa tukiaminishwa kuwa ATCL, pamoja na malengo mengine, ipo kwa ajili ya kuwahudumia Watanzania wenye kipato cha chini wenye uhitaji wa kutumia huduma ya usafiri wa anga. Sasa inakuwaje nauli inayotozwa na public airline iwe ya juu kuliko ile ya private airline? ATCL tunakwama wapi enyi wanyonge wenzangu?
View attachment 1930588
Hii yenyewe wameiga kwa Precision Air
Aaargh...waturudishie Fast Jet ndo alikuwa mkombozi na sio mambo ya ' monoply' ya kutaka Atc isiwe na mshindani na sasa matokeo yake kila mtu anayaona...... kaazi kwelikweli.Mambo taratibu taratibu naimani itapungua nauli ipo siku tu
Ila kwa utawala wa mama atarudisha fast jet nchiniAaargh...waturudishie Fast Jet ndo alikuwa mkombozi na sio mambo ya ' monoply' ya kutaka Atc isiwe na mshindani na sasa matokeo yake kila mtu anayaona...... kaazi kwelikweli.
Ule msemo iga kisha iga tena ndiyo utakuwa wewe, ndiyo wanacheza nao siunajua kizuri kinafaa kiigweHii yenyewe wameiga kwa Precision Air
Tatizo ni namna walivyoiripoti utadhani wao ndio wameanzisha huo utaratibu.Ule msemo iga kisha iga tena ndiyo utakuwa wewe, ndiyo wanacheza nao siunajua kizuri kinafaa kiigwe