Atcl yachanua mawingu tabora -kigoma

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wanandugu ni furha ya ajabu tuliokuwa tukiisubiria miaka nenda rudi hatmae nikiwa naelekea mwanza asb nkapata mshtko kuona watu wakiwa wengi pembeni ya ndege akaja mfanyakazi mmoja wa ndege :::nilipta mshtuko nilipoambiwa inaenda tabora then kigoma
hongereni atcl ahsanten kwa kutukumbuka
 
Jamani walio tanzania ya kweli haya
kama ndio basi hongera zao tukumbukeni na shinyanga
na isiwe mwanzo tu the tunsimamisha ruti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…