Ateba Ateba Ateba Kesho usirudie kosa kama hili

Ateba Ateba Ateba Kesho usirudie kosa kama hili

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Wana simba walikusamehe ile mechi ya Kwanza kwa kukosa weredi wa kutumbukiza mpira golini ulikua na option mbili ufunge wewe au umpe pasi kibu wakati huo diara hakua golini ukareta mbwembwe za kutaka kufunga kistaa

Kesho ukirudia kosa kama hilo nadhani ndo utakua umejichimbia kaburi lako hapo msimbazi

FT
Utopolo 0-3 Simba


Simba bingwa
FB_IMG_1741369890002.jpg
 
Wana simba walikusamehe ile mechi ya Kwanza kwa kukosa weredi wa kutumbukiza mpira golini ulikua na option mbili ufunge wewe au umpe pasi kibu wakati huo diara hakua golini ukareta mbwembwe za kutaka kufunga kistaa

Kesho ukirudia kosa kama hilo nadhani ndo utakua umejichimbia kaburi lako hapo msimbazi

FT
Utopolo 0-3 Simba


Simba bingwaView attachment 3262894
Kwaiyo kwa akili zako ndogo tu unadhani nafasi kama iyo ataipata Tena au zinajirudiaga?
 
Kwaiyo kwa akili zako ndogo tu unadhani nafasi kama iyo ataipata Tena au zinajirudiaga?
Kidhibitisho Gani ambacho unacho kua binadamu hawezi kupata nafasi mara kwa mara kwa jambo alifanyalo...tuseme kwa mfano, unapopata nafasi ya kunya, hua ni mara Moja tu na hua unajiambia au unajiaminisha kua huwezi kunya tena?
 
Kidhibitisho Gani ambacho unacho kua binadamu hawezi kupata nafasi mara kwa mara kwa jambo alifanyalo...tuseme kwa mfano, unapopata nafasi ya kunya, hua ni mara Moja tu na hua unajiambia au unajiaminisha kua huwezi kunya tena?
Basi subilia ataipata Tena iyo nafasi
 
Huyu jamaa siku ile Ndio nilimkataa Mazima.

Hakuna mshambuliaji hapo
 
Back
Top Bottom