#COVID19 Atembea kwa miguu kutoka Kigoma hadi Kilimanjaro kuhamasisha chanjo

Nenda shule kwanza maana hujui hata chochote kuhusu chanjo, la sivyo usingelinganisha korona na ukimwi! Kweli Magufuli alihamisha akili zenu, akaenda nazo nanyi mkakubali na kubaki na ujinga wake! Shame!
Alafu hebu tuambizane wewe unayejua sana kuliko hawa
1 in 5 Americans say they won't get COVID-19 vaccine
tuambie, why hawa jamaa ambao wamepata uelewa mpana hasa kutokana na kupoteza ndugu zao wana hofu ila wewe sasa mh!.
 
Nilipokuwa Majeshi enzi hizooo!!! Nilikuwa na Afande wangu kwa jina anaitwa Afande Taratibu. Alikuwa na usemi mmoja mzuri sana: "Jikombe ukombolewe". Sijui alikuwa anamaanisha nini?
 
Mambo mengine ni ya kujitesa tu. Binafsi siwezi kufanya upuuzi kama huo.
A means to an end..., A means to and end Brother....,

Hapo keshapata contacts za mawaziri na hata wewe unamjua kesho au keshokutwa ikitokea issue alafu mkakutana mezani wewe na yeye mnaoweza kufanya hio issue unategemea nani atapewa kipaumbele ?

Kuna watu wanacheza three dimensional chase....
 
Pia unapaswa kuepuka direct sunlight. Hii ni kwasababu huwezi kutembea na jokofu la chanjo kwenye outreach
Huyo kwenye picha kivuli chake ni cha tochi au mbalamwezi?
 
Nilipokuwa Majeshi enzi hizooo!!! Nilikuwa na Afande wangu kwa jina anaitwa Afande Taratibu. Alikuwa na usemi mmoja mzuri sana: "Jikombe ukombolewe". Sijui alikuwa anamaanisha nini?
Alikuwa ni mwanafalsafa mzuri sana patamu hapo nimepapenda naomba urudie tena
 
Kazi kweli kweli, tusishangae na huyu akaitwa bungeni kupongezwa kwa kuwadunga wananchi ma chanjo kihorela.
 
Kwa hiyo na sisi wengine tukiamua kutembea kwa miguu labda toka hapa nilipo hadi Mwanza Km 1200 mtanipongeza kwa ku campain watu wasichanje, chanjo ni hatari.
Katika chanjo zote hii ndo ilikuwa kinara.
Hizo nyingine sijui Surua, polio, Tetenas, Hepatites ilikuwa ni kuzizoea hadi kuonekana kitu cha kawaida na sasa inaletwa hii ndo mtu akitaka kuua kundi fulani la DNA basi kila mwenye DNA hiyo unawasha switch tu na kuwaua, watu hawajijui walivyo.
Hii ndo ilikuwa hasa imepangwa tangu maelfu ya miaka ya zama za binadamu..
Aliens wameibuka tena kuchukua ulimwengu wote kikamilifu!!!!
 
Kwani huko Kigoma kesha hamasisha au huku ndio kutafuta fursa kwa nguvu kama akina Steve Nyerere, ningemuona wa maana angehamasisha hukohuko kwao Kigoma tena kimya kimya bila kutaka ujiko wa kwenye vyombo vya habari.
 
Hana kazi ya kufanya, angekuwa na familia inayo mtegemea angefanya hayo? Hongera yake
 
Madalali wa chanjo tuhurumieni, tozo tunalipa kwa shida sana jamani
 
Nenda shule kwanza maana hujui hata chochote kuhusu chanjo, la sivyo usingelinganisha korona na ukimwi! Kweli Magufuli alihamisha akili zenu, akaenda nazo nanyi mkakubali na kubaki na ujinga wake! Shame!
Ujinga ni relative.
Wote mnaweza kuwa wajinga inategemea na mwalimu aliyewafunza kuhusu chanjo
 
Ujinga ni relative.
Wote mnaweza kuwa wajinga inategemea na mwalimu aliyewafunza kuhusu chanjo
Tusubiri siku yakianza madhara ya chanjo waanze kutembea kwa miguu kumlaumu Marekani na wenzake
 
Nenda shule kwanza maana hujui hata chochote kuhusu chanjo, la sivyo usingelinganisha korona na ukimwi! Kweli Magufuli alihamisha akili zenu, akaenda nazo nanyi mkakubali na kubaki na ujinga wake!

Je unakubaliana before injection of Johnson Johnson vaccine protein spike gene lazima iwe inserted into the Adenovirus before injected into human cell
 
Ahsante Kwa taarifa...
Hii ni fact,but wanasema kwamba adenovirus anakuwa modified akiwa katika cytoplasm ya human cell anakuwa incapable to replicate na kucause damage to human cell,but problem hawa wamebase genetic instructions in building spike protein
 
Asije akajiua kwa kupata korona.
 
Je unakubaliana before injection of Johnson Johnson vaccine protein spike gene lazima iwe inserted into the Adenovirus before injected into human cell
Sijajua hata unataka kuuliza nini ?
 
You can fool some people some times but you can't fool all the people all the time.

Wanatuona wote tumekuja na Treni? Umbali kutoka Kigoma hadi k/njaro anaujua huyo Poyoyo Nondo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…