Junnie27 Senior Member Joined Aug 18, 2021 Posts 119 Reaction score 194 Oct 13, 2021 #1 Altezza manual 5m DSM 0626409908
Ndalilo JF-Expert Member Joined Jan 30, 2013 Posts 3,343 Reaction score 7,516 Oct 13, 2021 #2 Manual, T...CVY? Tezza! Nasikia wanasema wengi hawajui kupiga hiyo manual, hasa wavaa vinjunga na funguo zao kiunoni, na ndio wanunuzi wakubwa wa magari ya mkononi. Ongeza taarifa za gari ili wakose maswali, waende kwenye kulilia bei moja kwa moja!
Manual, T...CVY? Tezza! Nasikia wanasema wengi hawajui kupiga hiyo manual, hasa wavaa vinjunga na funguo zao kiunoni, na ndio wanunuzi wakubwa wa magari ya mkononi. Ongeza taarifa za gari ili wakose maswali, waende kwenye kulilia bei moja kwa moja!
Junnie27 Senior Member Joined Aug 18, 2021 Posts 119 Reaction score 194 Oct 14, 2021 Thread starter #3 Ndalilo said: Manual, T...CVY? Tezza! Nasikia wanasema wengi hawajui kupiga hiyo manual, hasa wavaa vinjunga na funguo zao kiunoni, na ndio wanunuzi wakubwa wa magari ya mkononi. Ongeza taarifa za gari ili wakose maswali, waende kwenye kulilia bei moja kwa moja! Click to expand... Most of 20's manual cars kwao n mitihan wengi wako interested na auto cz haiko na mambo mengi
Ndalilo said: Manual, T...CVY? Tezza! Nasikia wanasema wengi hawajui kupiga hiyo manual, hasa wavaa vinjunga na funguo zao kiunoni, na ndio wanunuzi wakubwa wa magari ya mkononi. Ongeza taarifa za gari ili wakose maswali, waende kwenye kulilia bei moja kwa moja! Click to expand... Most of 20's manual cars kwao n mitihan wengi wako interested na auto cz haiko na mambo mengi
Ndalilo JF-Expert Member Joined Jan 30, 2013 Posts 3,343 Reaction score 7,516 Oct 14, 2021 #4 Junnie27 said: Most of 20's manual cars kwao n mitihan wengi wako interested na auto cz haiko na mambo mengi Click to expand... Naam, nadhani pia bei ya manual na auto ziko tofauti kidogo, auto imechangamka, hasa kama unachukua ikiwa na km 19 Kuna nchi, auto ni chache kuliko manual tofauti na hapa kwetu
Junnie27 said: Most of 20's manual cars kwao n mitihan wengi wako interested na auto cz haiko na mambo mengi Click to expand... Naam, nadhani pia bei ya manual na auto ziko tofauti kidogo, auto imechangamka, hasa kama unachukua ikiwa na km 19 Kuna nchi, auto ni chache kuliko manual tofauti na hapa kwetu
Nokla JF-Expert Member Joined Aug 12, 2012 Posts 3,190 Reaction score 1,774 Oct 14, 2021 #5 Manual nzuri kwa safari ila route za dar utakuwa kama dereva daladala
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Oct 14, 2021 #6 Ahsante kwa taarifa...