Athari za Kisaikolojia kwa Wasichana wanaobeba mimba katika umri mdogo

Athari za Kisaikolojia kwa Wasichana wanaobeba mimba katika umri mdogo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1608274183300.png

Mimba za utotoni zinaathiri mwenendo na tabia za Msichana ambapo asipopata matibabu ya kisaikolojia uwezekano wa kufanya ukatili akiwa mtu mzima ni mkubwa

Mimba ina madhara mengi zaidi, Msichana anaweza kumkataa, kumkimbia #Mtoto. Lakini anapokuwa na huyo mtoto uchungu unazidi kwahiyo anaweza akaendeleza tabia za ukatili dhidi ya mtoto

Ikiwa msichana aliyepata mimba akipata matibabu ya kisaikolojia anaweza kurejea katika hali ya kawaida na kuendelea na maisha yake

Inashauriwa jamii iwasaidie wasichana wanaopata ujauzito katika umri mdogo ikiwemo kuwapatia msaada wa kiasaikolojia

Chanzo: Fikra Pevu
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom