Athari za kumtahiri mtoto.toddler

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,360
Reaction score
6,069
Kwa kifupi sana, nimesikia mitaani, eti ukimtahiri mtoto mdogo toddler (sio mchanga,) uume wake hautaongezeka, yaani wakati sahii afikishe miaka saba na kuendelea ama awe mchanga kabisa. Naomba ufafanuzi
 
Last edited:
Uume wake ukuongozeka wewe unafaidika ns nini?
 
Kwa kifupi sana, nimesikia mitaani, eti ukimtahiri mtoto mdogo sio mchanga, uume wake hautaongezeka, yaani wakati sahii afikishe mi aka saba na uendele a ama awe mchanga. Naomba ufaf anuzi
Hivi kutahiri ni lazima mpaka tuanze kuhangahika kujua ni wakati gani ndo sahihi kutahiriwa?
 
Ni kweli kuanzia umri wa miaka saba ndo mzuri sana kumtahiri mtoto!
 
Haijalishi sana , kama dogo ana mshibobo wa 'MANDINGO" haijalishi kitu.
muda wowote tu ana katwa.
 
Ndo nasikia leo na why 7 years any justification
 
Kuna madogo wamepigwa kisu wakiwa wachanga na bado wako poa sidhani kama kuna athari yoyote.
 
Wenye uzoefu na hili waweke data hapa.
 
HII HABARI HAINA UKWELI NILIWAHI KUMUULIZA MZEE WA MIAKA 75 anayefanya kazi ya kutahiri watoto akanijibu kupata kwa uume mkubwa au mdogo ni maumbile ya kuzaliwa nayo anasema amewahi kutahiri watoto wa miezi 5 wana dudu kubwa kuliko mtoto wa miaka 5,,,
 
duuu hiyo ni ajabu na kweli, na madogo wenye ujazo wa kiwango cha hatari
enzi za utoto tulikuwa tunasema kuwan"ana mashine ya ukoo"
yaani mdau anakuwa kama alisusiwa "mkuyati" na ukoo wake.
 
Kwa kifupi sana, nimesikia mitaani, eti ukimtahiri mtoto mdogo sio mchanga, uume wake hautaongezeka, yaani wakati sahii afikishe mi aka saba na uendele a ama awe mchanga. Naomba ufaf anuzi
Usimtahili akiwa mdogo Sana athari inayegemea na mwili wake subili kidogo at list five years itakuwa bora zaidi kwani Una haraka gani
 
Usimtahili akiwa mdogo Sana athari inayegemea na mwili wake subili kidogo at list five years itakuwa bora zaidi kwani Una haraka gani
wadau hivi kuna utafiti wowote wa kisayansi au wa ki dr. year unaelezea hiyo dhana kuwa na ukweli wowote..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…