Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Nilishangaa kuna Siku Super Friend Le Mbebez alipost kwamba kwa siku anakunywa maji liter 1,Sasa Mwili kama ule wenye karibia 400 pounds(180kg) unywe lita 1? wakati ilitakiwa anywe si chini ya lita 5 kwa siku,ndio maana mabebez hadumu nao maana kama mwili hauna maji hata Dushe haliwezi kusimama maana flow ya damu itakuwa ndogo sana hence hata erection hakuna.,,,ndio maana anaishia kupiga nao picha tu .60% ya mwili wa binadamu ni maji, maji haya yanafanya cell iwe na uhai, maji husafirisha damu, immune system, uchafu pia oxygen na caborn dioxide.
Usipokunywa maji mwili husikia Kiu ndiyo dalili ya kwanza kuwa unahitaji nyongeza zaidi ya maji. Mwili ukikosa maji BP hushuka na kinachofuatia ni ogarns kushindwa kufanya kazi na zinaanza kufa.
Na kama unakwenda kutolewa damu hospitali hata ya vipimo tu kunywa lita ya maji hawatapata shida ya kuona mishipaNilishangaa kuna Siku Super Friend Le Mbebez alipost kwamba kwa siku anakunywa maji liter 1,Sasa Mwili kama ule wenye karibia 400 pounds(180kg) unywe lita 1? wakati ilitakiwa anywe si chini ya lita 5 kwa siku,ndio maana mabebez hadumu nao maana kama mwili hauna maji hata Dushe haliwezi kusimama maana flow ya damu itakuwa ndogo sana hence hata erection hakuna.,,,ndio maana anaishia kupiga nao picha tu .
How much water do you need?
Every day you lose water through your breath, perspiration, urine and bowel movements. For your body to function properly, you must replenish its water supply by consuming beverages and foods that contain water.
So how much fluid does the average, healthy adult living in a temperate climate need? The National Academies of Sciences, Engineering, and Medicine determined that an adequate daily fluid intake is:
About 15.5 cups (3.7 liters) of fluids for men
About 11.5 cups (2.7 liters) of fluids a day for women
These recommendations cover fluids from water, other beverages and food. About 20 percent of daily fluid intake usually comes from food and the rest from drinks.
Health benefits of water
Water is your body's principal chemical component and makes up about 60 percent of your body weight. Your body depends on water to survive.
Every cell, tissue and organ in your body needs water to work properly. For example, water:
-Gets rid of wastes through urination, perspiration and bowel movements
-Keeps your temperature normal
-Lubricates and cushions joints
-Protects sensitive tissues
Lack of water can lead to dehydration — a condition that occurs when you don't have enough water in your body to carry out normal functions. Even mild dehydration can drain your energy and make you tired.
Habari waungwana.
Naomba kuambiwa kiutalamu athari za kutokunywa maji ya kutosha mwilini kwa hakika nahisi niko na marazi siwezi ( sipendi) kunywa maji hata kidogo naweza kupitisha week bila ya kunywa maji kama nitakunywa maji ni kikombe 1 cha chai tuuu kwa siku ama 2 sasa wengi wananiambia kua ni hatari ila sijui kwa vipi na ni vipi nifanye kuepuka kadhia hio.
Sina kawaida ya kutoka jasho wala kuona joto mwilini
Naomba mnisaidie
Watu wa design yako mnatabia ya kutooga pia
Unaijua Bawaziri na Gout anthritis? Soon haya magonjwa yatakuandamaHabari waungwana.
Naomba kuambiwa kiutalamu athari za kutokunywa maji ya kutosha mwilini kwa hakika nahisi niko na marazi siwezi ( sipendi) kunywa maji hata kidogo naweza kupitisha week bila ya kunywa maji kama nitakunywa maji ni kikombe 1 cha chai tuuu kwa siku ama 2 sasa wengi wananiambia kua ni hatari ila sijui kwa vipi na ni vipi nifanye kuepuka kadhia hio.
Sina kawaida ya kutoka jasho wala kuona joto mwilini
Naomba mnisaidie
Maji muhimu sana kwakuwa nashinda kwenye matanuri ya moto/Mkaa huwa nakunywa lita 3 daily.Na kama unakwenda kutolewa damu hospitali hata ya vipi morning tu kunywa lita ya maji hswatapa shida ya kuona mishipa
Kwa hiyo tabia utakuwa unakunya mara moja kwa wiki.Habari waungwana.
Naomba kuambiwa kiutalamu athari za kutokunywa maji ya kutosha mwilini kwa hakika nahisi niko na marazi siwezi ( sipendi) kunywa maji hata kidogo naweza kupitisha week bila ya kunywa maji kama nitakunywa maji ni kikombe 1 cha chai tuuu kwa siku ama 2 sasa wengi wananiambia kua ni hatari ila sijui kwa vipi na ni vipi nifanye kuepuka kadhia hio.
Sina kawaida ya kutoka jasho wala kuona joto mwilini
Naomba mnisaidie
Nimesikia kucheza kabisa. JF kuna madaktari usipime.Utapatata stroke
Anza kuandaa pesa ya kununulia figo mkuuHabari waungwana.
Naomba kuambiwa kiutalamu athari za kutokunywa maji ya kutosha mwilini kwa hakika nahisi niko na marazi siwezi ( sipendi) kunywa maji hata kidogo naweza kupitisha week bila ya kunywa maji kama nitakunywa maji ni kikombe 1 cha chai tuuu kwa siku ama 2 sasa wengi wananiambia kua ni hatari ila sijui kwa vipi na ni vipi nifanye kuepuka kadhia hio.
Sina kawaida ya kutoka jasho wala kuona joto mwilini
Naomba mnisaidie
Ongezea 10% ziwe 70%60% ya mwili wa binadamu ni maji, maji haya yanafanya cell iwe na uhai, maji husafirisha damu, immune system, uchafu pia oxygen na caborn dioxide.
Usipokunywa maji mwili husikia Kiu ndiyo dalili ya kwanza kuwa unahitaji nyongeza zaidi ya maji. Mwili ukikosa maji BP hushuka na kinachofuatia ni ogarns kushindwa kufanya kazi na zinaanza kufa.
Haha vumbi linaingiajetumboni lako litakuwa kavu sana na vumbi jingi
😀Haha vumbi linaingiaje
Kama unaweza kunywa supu na chapati nne asubuhi, utakunywa maji zaidi ya lita tatuWakuu nina tatizo hilo pia....nachukia maji kiasi kwamba nakunywa kwa kujilazimisha kama dawa tu.Sijui nini kinasababisha hii kitu