Athari za kutumia njia za uzazi wa mpango za kisasa

My dear calendar inazinguaga sometimes. Condom nayo mtihani jamani maana yango na yango mpango mzima.
Calendar haizingui hata siku moja wewe mwenyewe ndo unajizingua una tatizo la kusahau sahau jilaumu mwenyewe kwa hilo
 
Njia zote hizo hufanyakazi baada ya yai kurutubishwa hvy in uuwaji kwn uhai unaanza pale yai NA mbegu zinapo kutana sekunde hyhy kama unatumia acha kabisa
Sio kwamba hizi njia zinazua fertilization isi take place ....... Maana wanasema ukibeba mimba haifanyi kazi tena ila inazuia ubebaji
 
Ni uuaji kwa maana kwamba mimba huwa inatungwa lakini inaharibika katika hatua za mwanzo kabisa hasa kwa wanaotumia kitanzi na ndio maana hata wakati wa period damu huweza kutoka nyingi kuliko ilivyokuwa mwanzo
Asante kwa mkuu
 
Hivi we huwaga ni she? Sorry mkuu

Witnessj.

Nadhani kilichokufanya ukauliza swali hilo ni hiyo comment yangu uliyoinukuu na hasa pale niliposema "I have been using this". Ila siku zingine zote na hakika umekuwa ukiamini mimi ni " MALE" isipokuwa kwenye bandiko hilo limekuleta perception tofauti.

Anyway, kwa kujibu swali lako ni kwamba mimi ni dume au waweza kusema "ZAGAMBA"

Hiyo njia tumekuwa tukiitumia mimi na partner wangu, akiitumia yeye ni sawa na mimi nimeitumia kwa sababu tunaitumia wote.
 
Ok mkuu..

Nilitaka nishangae maana nondo unazoshusha sio za kike mkuu..
 
Sasa tutatumia nini jamani? Maana hayo ya wazungu kweli yanaside effects mbaya kabisa, hakuna njia ya asili nyingine ukiacha calendar?
issue hapo ni kumwaga njee tuu hakuna namna ,mbona mimi ndio njia yangu hiyo wazungu wakikaribia tuu nachomoa namwaga nje kwa kuichomeka ktkkt ya matiti .
 


et unapasha kiporo chenu. Hahahahahhahahhaa.

Ila hizi njia za kisasa kwa kweli ni majanga. Ukizitumia mda mrefu hata mwanamke akija kushika mimba kuna uwezekano mkubwa wa mimba hiyo kumsumbua zaid kuliko kama asingekuwa anatumia hiz njia za kisasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…