Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Mapungufu yaliyobainishwa katika utekelezaji wa miradi kwa utaratibu wa “force account”, yamepelekea kuwepo kwa athari zifuatazo:
a) Kuwepo kwa viashiria vya rushwa na udanganyifu katika mchakato wa ununuzi wa umma. Mfano; Kutilia shaka ushindani kwenye mchakato wa ununuzi katika miradi 21 yenye thamani ya TZS 2.13 bilioni inayotekelezwa kwa utaratibu wa “force account”, kutokana na nyaraka za zabuni zilizowasilishwa kuwa na miandiko inayofanana na kutokuwa na muhuri wa mtoa huduma
b) Kuwepo kwa upotevu/ubadhirifu wa fedha za umma. Mfano; Manunuzi yalifanyika kwa bei ya juu kuliko bei ya soko na kusababisha upotevu wa kiasi cha TZS 100.16 milioni ambazo zingeokolewa kama Sheria ya Ununuzi ya Umma 2016 kifungu 4A (3) (na marekebisho yake) ingezingatiwa.
c) Kukosekana kwa thamani ya fedha katika miradi iliyotekelezwa. Mfano; Majengo kupata nyufa muda mfupi baada ya kukamilika katika Shule za Sekondari Berege na Mazae zilizopo H/W Mpwapwa na Shule ya Sekondari Bulunde iliyopo H/Mji Nzega
a) Kuwepo kwa viashiria vya rushwa na udanganyifu katika mchakato wa ununuzi wa umma. Mfano; Kutilia shaka ushindani kwenye mchakato wa ununuzi katika miradi 21 yenye thamani ya TZS 2.13 bilioni inayotekelezwa kwa utaratibu wa “force account”, kutokana na nyaraka za zabuni zilizowasilishwa kuwa na miandiko inayofanana na kutokuwa na muhuri wa mtoa huduma
b) Kuwepo kwa upotevu/ubadhirifu wa fedha za umma. Mfano; Manunuzi yalifanyika kwa bei ya juu kuliko bei ya soko na kusababisha upotevu wa kiasi cha TZS 100.16 milioni ambazo zingeokolewa kama Sheria ya Ununuzi ya Umma 2016 kifungu 4A (3) (na marekebisho yake) ingezingatiwa.
c) Kukosekana kwa thamani ya fedha katika miradi iliyotekelezwa. Mfano; Majengo kupata nyufa muda mfupi baada ya kukamilika katika Shule za Sekondari Berege na Mazae zilizopo H/W Mpwapwa na Shule ya Sekondari Bulunde iliyopo H/Mji Nzega