Athari za Mvua: Hali ya eneo ulipo ikoje baada ya mvua kuanza kunyesha? Umechukua tahadhari gani?

Athari za Mvua: Hali ya eneo ulipo ikoje baada ya mvua kuanza kunyesha? Umechukua tahadhari gani?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Majuzi TMA walitabiri mvua kubwa kuanza kunyesha kwa baadhi ya mikoa, athari zikisemwa kuwa za kawaida.

Tumeona mvua imeanza kunyesha, hali ikoje huko ulipo? Miundombinu iko salama?

Pia soma TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa katika mikoa 25

Itakuwa vizuri ukiweka athari uambatishe na kavideo au kapicha ili ambao wanahitaji msaada waonekane na kufikiwa kirahisi.

Karibuni Wakuu.
 
Dar es salaam kama kawaida ikinyesha mara Moja tu mafuriko na majitaka kufunguliwa.kila Kona kunanuka maji taka tu.Huu mji ni wa hovyo sana
 
Back
Top Bottom