Nimetafakari na kuchunguza na mwisho nimebaini zifuatazo ni athari za uchakataji upya wa matokeo ya kidato cha IV 2012.
Mosi Baraza la mitihani litatakiwa lirudishe gharama zote zilizotumika na baadhi wa wahitimu waliodhaniwa kuwa wamefeli na wakaamua kutumia fedha kwaajili ya kujisajili kama watahiniwa wa kujitegemea ili kufanya mtihani tena 2013 hususani ikibainika kuwa wamefaulu.
Pili taasisi mbalimali za kielimu walishatoa matangazo ya nafasi mbalimbali za masomo mfano vyuo vya ualimu, vyuo vya afya, kilimo n.k. Hii inamaanisha kwamba muda wa kuwasilisha maombi itabidi uongezwe hivyo zoezi la kuwachagua litachelewa na mwisho wanafunzi watachelewa kuanza masomo na mwisho mafunzo hayatakamilika.
Pamoja na pointi hizi wanajf waweza ongeza athali zingine ili kuisaidia serikali yetu itambue na mwisho wafanyie kazi.
Mosi Baraza la mitihani litatakiwa lirudishe gharama zote zilizotumika na baadhi wa wahitimu waliodhaniwa kuwa wamefeli na wakaamua kutumia fedha kwaajili ya kujisajili kama watahiniwa wa kujitegemea ili kufanya mtihani tena 2013 hususani ikibainika kuwa wamefaulu.
Pili taasisi mbalimali za kielimu walishatoa matangazo ya nafasi mbalimbali za masomo mfano vyuo vya ualimu, vyuo vya afya, kilimo n.k. Hii inamaanisha kwamba muda wa kuwasilisha maombi itabidi uongezwe hivyo zoezi la kuwachagua litachelewa na mwisho wanafunzi watachelewa kuanza masomo na mwisho mafunzo hayatakamilika.
Pamoja na pointi hizi wanajf waweza ongeza athali zingine ili kuisaidia serikali yetu itambue na mwisho wafanyie kazi.