God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Unakuta mtu anajiita Atheist Ila anaamini katika universe na nature Ila haamini kuhusu Mungu mwingine yeye hatambui universe wala nature Ila anaamini Mungu. Ukifatilia hawa wote hawajitambui maana wanafatisha watu wamagharibi wanachokiamini.
Binafsi Mimi naamini katika mizimu na karma. I pray to my ancestors and I do good deeds. Kuwa athesit na kuwa MTU wa dini ni ujinga.
Lazima uwe na nguvu yako ambayo inakutambua mizimu inakujua na ukiomba inafanya Kazi hapo hapo wala haitaji kukaa kusubiri.
Binafsi Mimi naamini katika mizimu na karma. I pray to my ancestors and I do good deeds. Kuwa athesit na kuwa MTU wa dini ni ujinga.
Lazima uwe na nguvu yako ambayo inakutambua mizimu inakujua na ukiomba inafanya Kazi hapo hapo wala haitaji kukaa kusubiri.