Atheists Kenya wataka neno GOD liondolewe kwenye wimbo wa Taifa

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Wamedai kuwa Kenya ni nchi isiyo na dini na hivyo kuimba wimbo wa taifa wenye neno ‘God’ inakinzana na katiba ya nchi hiyo. Wimbo wa taifa wa Kenya huanza na kwa kusema “Oh, God of all creation.”

Watu hao wamesema kuwa huhisi kutengwa kila wimbo huo unapoimbwa. Wamesema watapeleka malalamiko yao bungeni.

HABARI HII IKIWA NA MAONI YA WANAJF IMESOMWA PIA KWENYE KIPINDI CHA JAMII LEO. TAZAMA VIDEO;
===========


Atheists in Kenya are demanding that the word ‘God’ in the National Anthem be expunged.

They argued that having the word ‘God” in the first stanza of the anthem does not promote the spirit of inclusivity since “not all Kenyans believe in God”.

They argued that Kenya is a secular state and therefore singing the national anthem with the word God is in contravention of the Constitution.

“As non-believers, we feel that the National Anthem is not representative of us, and goes against the spirit of the Kenyan Constitution. Removing ‘God’ from the National Anthem will make it inclusive,” Harrison Mumia, President of Atheists in Kenya, said in a statement.

The National Anthem starts with “Oh, God of all creation” and is recited as a national prayer for prosperity, love and unity.

It is a song taught to every child in each school and is considered to be the unifying factor in the country.

The anthem is sang in numerous occasions for instance before the opening of any official function.

FEEL LEFT OUT

Nonetheless, Atheists in Kenya complained saying they feel left out when the anthem is recited.

“Atheists want to feel proud when we sing or listen to the national anthem. This pride must arise from a sense of unity with shared values and ideals. The word ‘God’ disenfranchises atheists from this unified ideal,” Mr Mumia said.

He said the petition will be presented to Parliament, which ironically has its own prayer that mentions God severally.

“Almighty God, who in Your wisdom and goodness have appointed the offices of leaders and parliaments for the welfare of society and the just government of the people, we beseech You to behold with Your abundant favour, us Your servants, whom You have been pleased to call to the performance of important trusts in this Republic,” the Parliamentary prayer reads in part.

The group has in the past engaged in bouts with the government from the issue of its registration to admitting members.

It was registered in February 18, only for the certificate to be suspended by Attorney-General Githu Muigai in May following opposition from religious groups.

In a statement then, Prof Muigai said the organisation’s fate will be determined by the Supreme Court.


Source: Atheists push for removal of 'God' in Kenya's national anthem
 
Mhhhh hawa ujaluo na ukikuyu umewashinda sasa wanarud kwny vta ya din
 
Kuiga tu wamewaiga wa US kutaka kuondolewe in God we trust kwenye dollar bill and other constitutional religious phrases and holidays wakenya kwa kuiga hawajambo.

After all atheism is a religion.
 
Cc. kiranga, mshana jr, charmilton, nusuhela, samsun, all atheists, all ustadhiz, and all walokolez
 
Nadhani Hawatafika mbali na hii movement yao...most Kenyans are religious people (they at least believe in some God) and don't get offended by the word God in their national anthem.. I think Atheism in Kenya isn't that powerful to push this thing any far..
 
Kama hana Mungu ilo jina Harrison alibatizwa wapi
 
Kama hana Mungu ilo jina Harrison alibatizwa wapi
Jina kapewa akiwa mtoto.
Mtu hujichagulia dini anapoamua kubadili dini, wengi wetu ni waislamu au wakristo kwa kuwa tulilelewa hivo, ila si kwa kutaka.
 
The word Gos does not mean religion. It is a higher authority beyond our reach while religion is a way to seek him.
 
Kuiga tu wamewaiga wa US kutaka kuondolewe in God we trust kwenye dollar bill and other constitutional religious phrases and holidays wakenya kwa kuiga hawajambo.

After all atheism is a religion.
Na tutaendelea tu kuwaiga, hata sasa hivi tunavozungumza serikali imesaini mkataba na Shirika La Milima la China... Hivi karibuni tutajenga Kilimanjaro yetu katika kaunti ya Taita Taveta.
Na muendelee kutusema.
 
Halafu ndiyo Kibera itatoweka na wote kupata makazi bora na salama? Au watoto wanaokufa kwa kushambuliwa na Funza watapata Viatu? Au turkana watapata chakula?
 
The word Gos does not mean religion. It is a higher authority beyond our reach while religion is a way to seek him.
Even pagans believe that there is God either god or gods but they believe on omnipotent power. For them saying they don't believe on anything it is also faith that there is power which make them not to believe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…