In terms of speed tu;siyo kila Carina Ti ni mnyonge kwa xtrail,kuna Ti nyingine xtrail hawezi iacha barabarani labda dereva wa Ti aamue tu,kikubwa tusikariri😊😊sijawahi kumiliki carina zaidi ya kupewa lifti au kupanda kama taxi.....sijaona hiyo comfortability unayoisema kwenye karina bosi japo umedadavua vyema sana.
Lakini pia usilinganishe xtrail na carina hata kidogo...xtrail inamuacha carina mbali sana kwa kila kitu..yaani hapo umelinganisha mkurugenzi wa kampuni na mfungua geti wa kampuni...
Kama ni new model acha wachonge kuna siku watakutana nayo highway
Mmeripoti kituo cha polisi, hua zinapatikana hizoSiku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
Ndugu crown inawah kuchanganya tu but maximum speed ni 180km/hr, but kwa Volkswagen polo tu yenye speed 260/240km/hr utaiacha kwa kuwah kuchanganya lakini mkisha nyooka highway crown inakua kama suzuk carry tu pollo inainyanyasa sana crown barabarani... And pollo ina cc chache kuliko crown.Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
Polo ni mnyamaNdugu crown inawah kuchanganya tu but maximum speed ni 180km/hr, but kwa Volkswagen polo tu yenye speed 260/240km/hr utaiacha kwa kuwah kuchanganya lakini mkisha nyooka highway crown inakua kama suzuk carry tu pollo inainyanyasa sana crown barabarani... And pollo ina cc chache kuliko crown.
Haya Magari ya mzungu yangekuwa Yana spare parts za bei nafuu wengi wengi tusingenunua Japanese cars...Magari ya mjerumani Yana nguvu Sana na stabilityNdugu crown inawah kuchanganya tu but maximum speed ni 180km/hr, but kwa Volkswagen polo tu yenye speed 260/240km/hr utaiacha kwa kuwah kuchanganya lakini mkisha nyooka highway crown inakua kama suzuk carry tu pollo inainyanyasa sana crown barabarani... And pollo ina cc chache kuliko crown.
Ndugu crown inawah kuchanganya tu but maximum speed ni 180km/hr, but kwa Volkswagen polo tu yenye speed 260/240km/hr utaiacha kwa kuwah kuchanganya lakini mkisha nyooka highway crown inakua kama suzuk carry tu pollo inainyanyasa sana crown barabarani... And pollo ina cc chache kuliko crown.
Unafahamu vx v8?au range rover unakuja kulinganisha crown acha maskharaGari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
niambieni na hii gari yetu landcruiser prado SKZ ENGINE DIESEL, alafu ni TURBO, niliifungua speed 140 hadi gari inapiga mluzi, na tyre zikitanuka kwenda nje,, nilivipita visubaru na vialtezza, kama napita baiskeli tu. sijui hiyo athlete crown kama ingenikamata kwa kweli.
Kuna kavideo nilikatoa humu kanaonesha crown iko 180 inapitwa na vw golfHaya Magari ya mzungu yangekuwa Yana spare parts za bei nafuu wengi wengi tusingenunua Japanese cars...Magari ya mjerumani Yana nguvu Sana na stability
m.amae achana hiyo mashineFunga kazi ni Crown Majesta
Kuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
Tafuta Nissan Fuga uipate 160 kph kwenye 1.5
Duh umeua...Tafuta Nissan Fuga uipate 160 kph kwenye 1.5
Golf in balaa lingine. Sema mafundi bongo hawaziwezi watakuambia hizi gari mbovu sanaKuna kavideo nilikatoa humu kanaonesha crown iko 180 inapitwa na vw golf
Kuna kavideo nilikatoa humu kanaonesha crown iko 180 inapitwa na vw golf
demu akabaki kushangaa, mijamaa nayo mimacho ikawatoka maana hawakuamini namna vw ilivyowapita....
angalau kidooooogo sasa kuna mafundi kwa mbaali wanaanza zijulia hizo gari, ingawa nao bei zao mkasi! shida ya mafundi wengi hawajiendelezi kielimu, kwa mfano kuna video kadhaa ytube kuhusu kutengeneza germany cars pindi yanapoharibika ila lugha ya malkia nayo wengi inawashindaGolf in balaa lingine. Sema mafundi bongo hawaziwezi watakuambia hizi gari mbovu sana