NGUCHILO
New Member
- Oct 17, 2012
- 3
- 0
Skia!
Enyi mlio jirani nae, mwambieni asiogope, mstueni janja yao wanajua hawana chao. Mwambieni ukweli kwamba the so called “Tume Huru (TH)” hiyo kwake ni mbachao, amkumbatie aende nae awaachie msala wao.
Wanatambua hawawezi na hawajui walitakalo, wameishiwa hadi nauli na chomboni wameshaingia. Wamepata kizingizio, wamekibatiza “Tume Huru” ili mwisho wa safari wapate huruma ya wasafiri. Oh; chombo hakiko imara, wakati hapo walipo sasa, ni kwa msaada wa chombo hicho.
Ikimpendeza awaulize, ni model hipi itawafaa, wasije wakapata kizingizio, waacheni wachague wenyewe. Pengine wangeipenda ile baba lao la dunia au za ndugu zetu wa Africa, zote kwetu ni kitonga, ushindi kabla ya Angelous. Ile ya baba la baba The Federal Election Commission (FEC) iliyoundwa chini ya sharia iitwayo the Federal Election Campaign Act (1974) inamtaka (POTUS) wao ateue wajumbe sita wakathibitishwe na bunge la Senate. Yaani (POTUT) wetu, ateue wajumbe, awapelekwe kwa Ndungai wakapate idhini yao (CCM >70% members) Waulizeni kama ni hii msiwakatalie wakiitaka.
Au twende na ya Ghana maana ilishabadilisha utawala; iliundwa chini ya sharia iitwayo the Electoral Commission Act (1993). Tena katiba yao Article ile ya 70 (1992, Constitution), Rais ndiye mwenye mamlaka ya kuteua wajumbe saba na hao wajumbe saba huunda tume hiyo. Vipi hii imekaeje, jaribuni kuwauliza.
Pengine wangependa tufuate ya jirani zetu, jirani zetu hawa wa Kenya. Wao wana ile yao the Independence Electoral and Boundaries Commission (IBEC). Katiba yao pendwa, ila ya mwaka 2010 inamtaka Rais wao ateuwe makamishina saba na kuhidhinishwa na bunge na tena makamishina hao humteua boss wao (CEO). Ni katika muktadha huu, mintalafu ukweli mtupu; Rais hakwepeki wala haepukiki na anabaki chombo pekee wa kuwahakikishia waungwana uchaguzi ulio huru na wa haki. Period!
Enyi mlio jirani nae, mwambieni asiogope, mstueni janja yao wanajua hawana chao. Mwambieni ukweli kwamba the so called “Tume Huru (TH)” hiyo kwake ni mbachao, amkumbatie aende nae awaachie msala wao.
Wanatambua hawawezi na hawajui walitakalo, wameishiwa hadi nauli na chomboni wameshaingia. Wamepata kizingizio, wamekibatiza “Tume Huru” ili mwisho wa safari wapate huruma ya wasafiri. Oh; chombo hakiko imara, wakati hapo walipo sasa, ni kwa msaada wa chombo hicho.
Ikimpendeza awaulize, ni model hipi itawafaa, wasije wakapata kizingizio, waacheni wachague wenyewe. Pengine wangeipenda ile baba lao la dunia au za ndugu zetu wa Africa, zote kwetu ni kitonga, ushindi kabla ya Angelous. Ile ya baba la baba The Federal Election Commission (FEC) iliyoundwa chini ya sharia iitwayo the Federal Election Campaign Act (1974) inamtaka (POTUS) wao ateue wajumbe sita wakathibitishwe na bunge la Senate. Yaani (POTUT) wetu, ateue wajumbe, awapelekwe kwa Ndungai wakapate idhini yao (CCM >70% members) Waulizeni kama ni hii msiwakatalie wakiitaka.
Au twende na ya Ghana maana ilishabadilisha utawala; iliundwa chini ya sharia iitwayo the Electoral Commission Act (1993). Tena katiba yao Article ile ya 70 (1992, Constitution), Rais ndiye mwenye mamlaka ya kuteua wajumbe saba na hao wajumbe saba huunda tume hiyo. Vipi hii imekaeje, jaribuni kuwauliza.
Pengine wangependa tufuate ya jirani zetu, jirani zetu hawa wa Kenya. Wao wana ile yao the Independence Electoral and Boundaries Commission (IBEC). Katiba yao pendwa, ila ya mwaka 2010 inamtaka Rais wao ateuwe makamishina saba na kuhidhinishwa na bunge na tena makamishina hao humteua boss wao (CEO). Ni katika muktadha huu, mintalafu ukweli mtupu; Rais hakwepeki wala haepukiki na anabaki chombo pekee wa kuwahakikishia waungwana uchaguzi ulio huru na wa haki. Period!