Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
shigongo amerudishiwa dolla zake.?
mimi nashangaa unawezaje ingia mkenge kumlipa mtu asiye meneja wa jose,si wangeomba namba za jose kwa nini hawana namba za jose wakati mimi mwenyewe tu ninazo,wametapeliwa kijinga,harafu yule mtu aliyetapeli alitumia range nyeupe kama ya jose yenye namba wakati range ya jose ni nyeupe lakin haina namba imeandikwa DOCTOR.
wametapeliwa kijinga sana cha ajabu awajaandika kwenye udaku wao kuwa wametapeliwa[/QUOTE]
Mimi like yenye rangi.