administration ya chuo kikuu cha mwenge hatimaye yaamua kuwasaidia wanafunzi wake ambao wamekosa mkopo huku wakikizi vigezo vyote ya kusecure mkopo.
Wanafunzi hao wametaarifiwa kuwa na uhakika wa documents zao za accessibility kupata na waripotishe majina yao kamili kama walivyoyatumia loan kuombea mkopo!!
Na majina hayo yatapelekwa loan board ya dean loa. officer kuanzia tarehe 3/10/13.
mwuce the home of faiths, trusts and honests..
pass_______¶