Uliwahi kujiuliza kwa nini ATM machine hutoa kadi kwanza halafu pesa huja baada ya kadi?
Walotengeneza ATM wanajua hulka za binadamu! Kwamba binadamu akipata anachotaka anasepaaaa.... hakumbuki alomwezesha!
Wangapi wangekumbuka kuchukua Kadi kwenye ATM kama pesa ingetoka kwanza?
[emoji23][emoji23][emoji23]