Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Aug 20, 2010 #1 Hizo ATM zinatoa kitabu chochote unachotaka, Huku kwa Waarabu ziko kila corner..... vipi huko Bongo zimeshafika??????
Hizo ATM zinatoa kitabu chochote unachotaka, Huku kwa Waarabu ziko kila corner..... vipi huko Bongo zimeshafika??????
RedDevil JF-Expert Member Joined Apr 30, 2009 Posts 2,367 Reaction score 1,523 Aug 20, 2010 #2 Mkuu Boflo, Rangi ya maandishi yako siipendi! Anyway, huku bongo bado tunatumia photocopy machines na scanner pamoja na mitandao kama Googles, scribd na nk.
Mkuu Boflo, Rangi ya maandishi yako siipendi! Anyway, huku bongo bado tunatumia photocopy machines na scanner pamoja na mitandao kama Googles, scribd na nk.
P PhD JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 4,692 Reaction score 3,891 Aug 20, 2010 #3 kwa wizi unaofanywa na CCM ni ndoto kufikia hatua hiyo labda wabongo wakishaamka na kuchagua viongozi makini
kwa wizi unaofanywa na CCM ni ndoto kufikia hatua hiyo labda wabongo wakishaamka na kuchagua viongozi makini
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Joined Jan 10, 2009 Posts 5,471 Reaction score 752 Aug 20, 2010 #4 Yaonysha wafaidi sana huko uarabuni nao pia wakufaidi atiii
D Dick JF-Expert Member Joined Feb 10, 2010 Posts 477 Reaction score 9 Aug 20, 2010 #5 Huko bwn kuna ATM za pesa na za kondomu tu, za vitabu bado kabisa.
daughter JF-Expert Member Joined Jun 22, 2009 Posts 1,275 Reaction score 748 Aug 20, 2010 #6 ukija njoo nazo kadhaa zitusaidie na sie jameni