ATM Ya VITABU

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Hizo ATM zinatoa kitabu chochote unachotaka, Huku kwa Waarabu ziko kila corner.....
vipi huko Bongo zimeshafika??????

 
Mkuu Boflo, Rangi ya maandishi yako siipendi! Anyway, huku bongo bado tunatumia photocopy machines na scanner pamoja na mitandao kama Googles, scribd na nk.
 
kwa wizi unaofanywa na CCM ni ndoto kufikia hatua hiyo labda wabongo wakishaamka na kuchagua viongozi makini
 
Huko bwn kuna ATM za pesa na za kondomu tu, za vitabu bado kabisa.
 
ukija njoo nazo kadhaa zitusaidie na sie jameni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…